Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Na hilo ndiyo jeshi ambalo naona hata kujiendeleza kielimu ni ishu maana kule unasoma ili ukawe nani sasa
Kuna ma afisa mifugo , afisa kilimo watu wa misitu watu wa afya nakadhalika

Na wote wana application ndani ya jeshi hilo hadi walimu maana wana shule zao


Acheni hizi dharau jamani hili jeshi limebadilishwa kiasi kikubwa

Linajitegemea ,lina miradi na viwanda mbalimbali

Na watu wanasoma vizuri sana
 
Na mwenye masikio asikie na mwenye macho asome
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…