MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Wenye one na two wanajitambua mtatuharibia dili la kuchakachua matokeo ya chaguzi maana mnajitambua.Awe na ufaulu wa div 4 au 3 tuu sasa Kwa wale wenye div 1 na 2 hawatakiwi au inakuwaje
Umenikumbusha mbali , kanembwa 2017 kumbe tulikua wote [emoji3526]
Mbona nasikia hamtoi ruhusa za kwenda kusoma huko ktk 'geshi la polishi' labda wa kozi elekezi ndio mnawaruhusu.
Nyie wa "mujibu wa sheria" sio wajibu!! nanyi pia hili linawahusu, ili mradi barua yako ipitishwe na mkuu wa kambi yako uliyokuwepo!!Sisi wa wajibu Wa sheria?
Hilo ni jibu pigia mstari mnaonekana wenye Div 1 mnasumbua sana jeshini 🤣🤣🤣Kwahiyo tuliopata ufaulu wa daraja la I na II haturuhusiwi kuomba ama!
Nyinyi mkiingia kazini hamtulii mnataka kwenda kusoma nguvu kazi inapunguaKwahiyo tuliopata ufaulu wa daraja la I na II haturuhusiwi kuomba ama!
ha ha ha mkuu nmefrai sana daah.daah e bwana weeeeWw mtu upo?? Ebu tuchekiane pm kdogo
😂 😂 😂Jeshi la polisi halitaki walio na akili ndo mana linataka waliopata div 4 ya 28 mpaka 32😂😂😂
tutakutana kwenye mafunzo mkuu na ntapenda tuwe anga /bweni mojakumbe majibu unayo?
nina miaka 31 na polisi naenda
ni kweli ruhusa hazitoki ndugu,tunapenda watu wasome,ila ukiweka mazingira wezeshi kwa kila mhitaji kazi zinasimama.
cha msingi watu wamepewa uhuru wa kuongeza elimu bila kuathiri utendaji na vyeti vipya vinapokelewa bila kuhoji ruhusa ilipatikania wapi.
Kwa hiyo kama ukishamaliza kujiendeleza unawapa gamba tu
Wakuu hivi usaili wa polisi huwa nini haswa wanauliza Kwa wajuzi watuambie.
Kwa mwezi sijajua Ila nimewahi kusikia usaili ni mazoezi Tu hamna oral interview wala written lakini sina hakikaKumbe usaili hua unafanyika mwez wa ngap
mbna unajiamini Sana mkuu kupata iyo nafasi, naona kuna vgezo vng mno na wamewapa kipaumbele wanasayansitutakutana kwenye mafunzo mkuu na ntapenda tuwe anga /bweni moja
Wwe ni sincenatus Kabisa [emoji23][emoji23]tutakutana kwenye mafunzo mkuu na ntapenda tuwe anga /bweni moja