Haya sasa yule kasema vingine na huyo naye kasema vingine sijui tushike lipi, au labda unisaidie kumuuliza kuwa baada ya kuapa huko msata, kuna course nyingine walizopiga huko kwenye vikosi walivyopangiwaKozi ni miezi 6 ukiplus na uzalendo huwa inatimia kumi,Reference from huyu jamaaa View attachment 2635907
Yaaaah jamaa yupo kozi kikosi cha anga ubongo kuna kozi anapigaHaya sasa yule kasema vingine na huyo naye kasema vingine sijui tushike lipi, au labda unisaidie kumuuliza kuwa baada ya kuapa huko msata, kuna course nyingine walizopiga huko kwenye vikosi walivyopangiwa
*Ubungo DsmYaaaah jamaa yupo kozi kikosi cha anga ubongo kuna kozi anapiga
Oohh Unamaanisha kule Changanyikeni siyoYaaaah jamaa yupo kozi kikosi cha anga ubongo kuna kozi anapiga
YaaaaahOohh Unamaanisha kule Changanyikeni siyo
Nitakujulisha nikipata taarifa kamili. Ila awali ilibidi ianze wa nane so baada ya kusitishwa kwa usaili sijajua kma itaanza wa nane vile vile.Kozi mwez wa ngap
Lakini watarudi tena na op Samia watajumuishwa?Usaili ule ulianza Tarehe 24 umesitishwa waliofsnikiwa kufanya usaili ni OP mabeyo.
Op samia walkuwa bado kufanya usaili na usaili umepigwa as u were(Aziyuwea)
Usaili utaendelea tena mwezi wa saba kwaajili ya Kupisha kumbukizi ya miaka 50 ya jkt.
Kwa taarifa nilizopata ni kuwa op samia ilibidi waanze usaili na wao ila ndo ikaahirishwa so wakianza mwez wa saba ndiyo wataendelea na op samia.Lakini watarudi tena na op Samia watajumuishwa?
UhamiajiUnauliziaga idara gani mkuu
Hukoh sifahamu kakaUhamiaji
TMA kozi ni wa 12 mpka wa 12Bogi lingine la kwenda TMA inaweza kuwa lini?
Wakati mwingine si inakuwaga mabogi mawili kwa wakati mmoja, wanakuwa wanatofautiana mda wa kuanza kozi tuTMA kozi ni wa 12 mpka wa 12
Kuna wa mwaka mmoja na wa miaka 3(Degree ya military) So mm nimeongelea ya upande mmoja ninayo fahamu mmWakati mwingine si inakuwaga mabogi mawili kwa wakati mmoja, wanakuwa wanatofautiana mda wa kuanza kozi tu
Sasa mbona tangazo la mwaka jana walitajq hadi wenye shahada ya uzamivu(Phd) walikuwa wanatania au mi nachokijua kuhusu hii ya kujitolea jeshi linahitaji elimu zote ila wanaofanya usaili ndo wanamonya kende watu wanarudi kisa elimu kubwaMujibu kama sio form six unaweza kwenda mpka uende makao makuu jkt kuomba then watakupangia kambi utapiga na form six kozi ikiisha utarud home. Kuhusu kujitolea sahz mwisho ni form 4.
Wanaofanya usaili hasa ngazi za wilaya ndo wanakuaga na mambo ya kujichukulia madaraka wanayojua wao jeshi linataka( na limeorodhesha elimu hadi ya juu) mtu anakukata kisa utaenda kupata kazi umzidi yeye amezeeka hajala shavuoya hii ya kujitolea mwisho form 4 ni official statement?!
Kuna wengine wamesoma mpaka elimu ya juu zaidi (shahada, uzamili na uzamivu) ili wakaitumikie nchi jeshini kwa taaluma zao. Sasa kama humpi nafasi kisa elimu yake si mapuuza hayo aroooh ?Wanaofanya usaili hasa ngazi za wilaya ndo wanakuaga na mambo ya kujichukulia madaraka wanayojua wao jeshi linataka( na limeorodhesha elimu hadi ya juu) mtu anakukata kisa utaenda kupata kazi umzidi yeye amezeeka hajala shavu
mnaongea sawa ila sifa ya mwanajeshi ni kufuata maelekezo....Kuna wengine wamesoma mpaka elimu ya juu zaidi (shahada, uzamili na uzamivu) ili wakaitumikie nchi jeshini kwa taaluma zao. Sasa kama humpi nafasi kisa elimu yake si mapuuza hayo aroooh ?
Jeshi linahitaji watu wote, wasomi wa ngazi za juu wakafanye kazi zinazowahusu jeshini, na waliosoma elimu ya ngazi za kawaida wafanye kazi zinazowahusu (kupigana mstari wa mbele vitani na majukumu mengine).
Riziki ya mtu kama ipo ipo tuu, na kama haipo, haipo pia ! Roho mbaya ya afisa wa jeshi anayefanya usaili haiwezi kumzuia mtu asiwe mwanajeshi au kutokuwa mwanajeshi wa Tanzania kwa namna yoyote.
Mungu ndio anayejua maisha ya kila mtu. Ni kumtegemea yeye tuu na kupambana kwa kadri ya uwezo wako. Mengine unamwachia yeye mwenyewe. Ndio maana jeshi likihitaji wasomì wanafanyiwa usaili na maafisa wa jeshi wasomi mpaka wa makao makuu ya jeshi na wana wanaandikishwa kunako jeshi la wananchi kama kawaida.
Mbona hii walitangaza kabisa hadharani kipindi kile cha wale waliogoma kurudishwa mtaani baada ya apo walitangaza kabisa hadharani kuwa wanahitajika form4 kushuka chini ndo wataingia JKT kujitolea na wala sio kama unavyosema sijui ngazi ya wilaya.Wanaofanya usaili hasa ngazi za wilaya ndo wanakuaga na mambo ya kujichukulia madaraka wanayojua wao jeshi linataka( na limeorodhesha elimu hadi ya juu) mtu anakukata kisa utaenda kupata kazi umzidi yeye amezeeka hajala shavu
Sio kweli mkuu wanaofanyisha usaili wilayani na Ni kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya husika ambapo humo ndani kuna vyombo vyote vya usalama na sio wajeshi peke yaoWanaofanya usaili hasa ngazi za wilaya ndo wanakuaga na mambo ya kujichukulia madaraka wanayojua wao jeshi linataka( na limeorodhesha elimu hadi ya juu) mtu anakukata kisa utaenda kupata kazi umzidi yeye amezeeka hajala shavu