Chui wakijani
Senior Member
- Jan 8, 2023
- 155
- 154
Living Pablo kaka vp tukalianzishe upya au tutulie tu na mujibu
huwa hawafatilii nimekaa jakata na wanangu wengi walipiga mujibu wakarudi kujitoalea na wala hawakagui nani anarudia wanajali tuu mashamba yalimweKwan mujibu wanaitajika au mimi nimesoma vibaya mana nimeona kama mujibu hawaitajiki
Muendelezo mpka ukatoboa.kwa graduate nashauri usifanyie usahili mikoa iliyochangamka,mfano mimi nilitoka nyumbani nikaenda wiliya moja huko kusini ilikua inaanzishwa hata sikutafuta connectio sababu elimu yangu haikuwa na upinzani mkubwa na vijana wengi wakule walikua wanadili na kuuza korosho na wanahela ,baada ya uchunguzi wangu nikagundua kule ninaweza nikapita nikasema liwalo na liwe ngoja niende hukohuko
unapeleka barua kwa mkuu wa wilaya huko utakutana na mshauri wa mgambo atakupa full details... then wao wilayan watafanya setup ya usaili kwa wilaya husika after hapo waliopta wanaendelea mkoani na kila mkoa unakua na siku yake ya usaili kutokana na idadi ya wanaoomba nafasi... naomba kuwasilishaIvii tunapaswa kupeleka izo barua wap kwa mkuu wa mkoa au wilaya pia naomba kujua mwisho kutuma maomb ni lini aliyeelew vzr iyoo tangoza ya jkt
hata mkoani nako mauchawi tu watu wanatoka vlevle... tena ni bora ukatokea wilayan ujitafute mapema... ukitokea mkoani aisee daah lazma kdogo upate heartbreakusahili wa jkt mchawi wilayani tuu ukishapita wilayani huko mbele ni vipimo tuu
huwa ninapita kuchungulia humu.Machaka ya vyombo vya ulinzi by proffesional uwa pagumu sana[emoji16][emoji119]bora ungeharibu form four angalau kuna possibility
Kitengo unaesupport vijana tuingie huko.Haya wale wa kujitolea jkt muende...mshatangaziwa nafasi
Mr banks atakua alizama Uhamiaji muda sana ...yule maelekezo yake ni makubwa sana.Kitengo unaesupport vijana tuingie huko.
hvi mr banks alizama chomboni PT or JW?
yaah kama yuko UT wanakaribia kuapa, coz kama ratiba hazitoenda tofauti november watakuja tena.Mr banks atakua alizama Uhamiaji muda sana ...yule maelekezo yake ni makubwa sana.
yaah kama yuko UT wanakaribia kuapa, coz kama ratiba hazitoenda tofauti november watakuja tena.
daah, watoto wa vigogo wanaraha sana hawanaga time na lonja wala pressure yoyote wao nikutinga vyomboni kiulaini s
Huyo MrBanks alibadili ID sasa hivi anajiita BlackHermito, na sidhani kama alizama kwenye chombo chochote japo inaonekana mbanga anayo, last activity yake JF ni Mwezi wa Sita sema labda kaamua tu kuachana na hizi nyuzi za vyomboniyaah kama yuko UT wanakaribia kuapa, coz kama ratiba hazitoenda tofauti november watakuja tena.
daah, watoto wa vigogo wanaraha sana hawanaga time na lonja wala pressure yoyote wao nikutinga vyomboni kiulaini sana
Alizama chomboni huyo ..maelekezo yake ni makubwa sana ni kama Obama na White houseHuyo MrBanks alibadili ID sasa hivi anajiita BlackHermito, na sidhani kama alizama kwenye chombo chochote japo inaonekana mbanga anayo, last activity yake JF ni Mwezi wa Sita sema labda kaamua tu kuachana na hizi nyuzi za vyomboni
Uhamiaji intake yao ya mwisho waliingia liniAlizama chomboni huyo ..maelekezo yake ni makubwa sana ni kama Obama na White house
Nina vigezo lakini sijui naanzia wapJKT kujitolea...View attachment 2728693
hapo ndo unaanza kudata sasaShahada ya kwanza umri usizidi 26
JkT ni miaka 2
Ukimaliza una 28
Ajira ikija unaambiwa usizidi 27 [emoji2357]