nenda kwa mwenyekit wa mtaa upate barua ya utambulisho then nenda nayo wilayan utapatana na mshauri wa mgambo atakupa full details nini cha kuendeleaNina vigezo lakini sijui naanzia wap
Kumbe mafunzo Ni miakaShahada ya kwanza umri usizidi 26
JkT ni miaka 2
Ukimaliza una 28
Ajira ikija unaambiwa usizidi 27 [emoji2357]
Mafunzo ni miezi minne sijui ila mkataba unasaini wa miaka miwiliKumbe mafunzo Ni miaka
M hapa mwezi WA 12 ndo nafikisha hyo 27 sasa sijui watakubali au vipiMafunzo ni miezi minne sijui ila mkataba unasaini wa miaka miwili
Kazi ipo hapo
Umepita mkuuu wahi kuomba hio haina shidaM hapa mwezi WA 12 ndo nafikisha hyo 27 sasa sijui watakubali au vipi
Unataka ukajitoleee na una miaka 27 ila nenda kaka kila mtu na njia zake huwezi juaM hapa mwezi WA 12 ndo nafikisha hyo 27 sasa sijui watakubali au vipi
Hapana mpka mkataba uishe,Ukiharibu kazi baada ya kozi unafukuzwa bila chetiCertificate unapewa baada ua miezi 4????????????
Ndio 2 yrsHapana mpka mkataba uishe,Ukiharibu kazi baada ya kozi unafukuzwa bila cheti
Ntafanyaje sasa maisha yenyewe ndo haya hayaUnataka ukajitoleee na una miaka 27 ila nenda kaka kila mtu na njia zake huwezi jua
Kijana majeshi aliyakacha ingawa nafasi alikuw nayo ila kuna NGO ya wamarekani yupo huko anakula helaKitengo unaesupport vijana tuingie huko.
hvi mr banks alizama chomboni PT or JW?
Ukipata chaka uraiani linatema hela bora uende kuliko kuingia huku kwenye kupiga salute kijana ila mwisho wa siku kila mtu ana njia yakeKitengo unaesupport vijana tuingie huko.
hvi mr banks alizama chomboni PT or JW?
Nimekusoma afande japo wengi tunapenda reputation ya kuwa miongoni mwa waliomo ndani ya hvi vyombo vya ulinzi.Ukipata chaka uraiani linatema hela bora uende kuliko kuingia huku kwenye kupiga salute kijana ila mwisho wa siku kila mtu ana njia yake
Nilisema mimi jamaa hajazama chombo chochote, sema tu ni vile wengi tunadhani mtu ambaye ni active member wa huu uzi ikitokea kapotea ghafla basi lazima atakuwa amezama huko, kumbe wengine wanapata sehemu nyingine au wanaamua tu kuachana na hizi nyuzi za vyomboniKijana majeshi aliyakacha ingawa nafasi alikuw nayo ila kuna NGO ya wamarekani yupo huko anakula hela
Vijana tusahau vyote lakini sio leaving certificates na Cheti cha la Saba hasa wenye taaluma na hawana mbangausahili wa jkt mchawi wilayani tuu ukishapita wilayani huko mbele ni vipimo tuu
Hapo Cheti cha la Saba sasa...wengine tulijifanya wajuaji tukavuka darasaVijana tusahau vyote lakini sio leaving certificates na Cheti cha la Saba hasa wenye taaluma na hawana mbanga
Cheti cha lasaba tena ,apo ndo ntpokwamaVijana tusahau vyote lakini sio leaving certificates na Cheti cha la Saba hasa wenye taaluma na hawana mbanga