Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ila w2 tutapata dhambi sn,yan life lilivotait hvi mtu anawaza kumuibia mwenzk[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
When you play the game of throne you win or you die there is no middle in the ground.

Kaangalie Game of thrones utaelewa vizuri mkuu , hakuna huruma kwenye hii dunia. Panya yupo radhi ang'ate mguu wake atome kwenye mtego, ije kuwa wewe unaetumia id fake.😃
 
When you play the game of throne you win or you die there is no middle in the ground.

Kaangalie Game of thrones utaelewa vizuri mkuu , hakuna huruma kwenye hii dunia. Panya yupo radhi ang'ate mguu wake atome kwenye mtego, ije kuwa wewe unaetumia id fake.[emoji2]
Wanasema mwenye huruma hana bahati.
 
When you play the game of throne you win or you die there is no middle in the ground.

Kaangalie Game of thrones utaelewa vizuri mkuu , hakuna huruma kwenye hii dunia. Panya yupo radhi ang'ate mguu wake atome kwenye mtego, ije kuwa wewe unaetumia id fake.[emoji2]
Fact sn,just like a war if you don't kill you will be killed
 
Kama umeomba uhamiaji na umetuma barua kwa posta hesabu maumivu yahn umelipia tsh 1200 kwamba barua zako za kazi zikifika Dodoma uhamiaji wazifate posta wakati kuna serious people zimetuma kwa njia ya EMS tsh 15000 mzigo unafikishwa mpka ofisini.


Barua yako vipande vyake vitageuzwa ticket au bahasha.
 
Kama umeomba uhamiaji na umetuma barua kwa posta hesabu maumivu yahn umelipia tsh 1200 kwamba barua zako za kazi zikifika Dodoma uhamiaji wazifate posta wakati kuna serious people zimetuma kwa njia ya EMS tsh 15000 mzigo unafikishwa mpka ofisini.


Barua yako vipande vyake vitageuzwa ticket au bahasha.
We jamaa acha bas!! Watazifauta tu
 
Back
Top Bottom