methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
HahahahahahahahaNaenda kuchek game ya Arsenal Defender ya Mapot imenipita hapa nikawapigia salute nao wakanirudishia kwa kutikisa kichwa...
Mwakani muda kama huu tutakua tunapiga patrol na sisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahahahahaNaenda kuchek game ya Arsenal Defender ya Mapot imenipita hapa nikawapigia salute nao wakanirudishia kwa kutikisa kichwa...
Mwakani muda kama huu tutakua tunapiga patrol na sisi
Yaani hao ndo watakaoharibu hali ya hewa humu[emoji2]Polee mkuu, peresuperesu iyo. PT na UT wakitoa patakua hapatoshi hapa !!!
Kaka haya mammbo ndio yetu kupiga guard na kutembea kwenye misafaraHahahahahahahaha
Ni yetu kweli lkn ndio hvyo tunazidi kuwasindikiza wenzetu....hao jamaa 🙂😋😇wangesimamisha defenda kukuambia UNAsema nafikiri lile swala la mabio muhimuKaka haya mammbo ndio yetu kupiga guard na kutembea kwenye misafara
Hahaha ningetembea kibata mpaka ningeelewa somo..Ni yetu kweli lkn ndio hvyo tunazidi kuwasindikiza wenzetu....hao jamaa 🙂😋😇wangesimamisha defenda kukuambia UNAsema nafikiri lile swala la mabio muhimu
Oya MARAMBA JKT kambi ngumu mzee.Umepazarau ruvu ila si kwamba laini Bali kambi yenye miundombinu bora kuliko kambi zote za jkt,kambi laini ya jkt ni maramba jkt
mnakula machungwa tu mkuu
UT ndio waharibifu. PT kuitwa usaili hawazingui kabisa kama una vigezo. UT ndio nawaogopYaani hao ndo watakaoharibu hali ya hewa humu[emoji2]
Hakuna kambi laini kama Ruvu Jkt..
nipo fazagola hapa wa mafinga jkt ni makuruti pekee tunaovaa kombati mwanzo mwisho kutokana na baridi ya urusi ya pale.hkuna ptshotiHakuna kambi laini kama Ruvu Jkt..
Watu wameenda kambi wanene wamerud vile vile
nenda mtabila au kanembwa utaelewa somo
Oyaaaa mtabila achana napo kaka kabisaHakuna kambi laini kama Ruvu Jkt..
Watu wameenda kambi wanene wamerud vile vile
nenda mtabila au kanembwa utaelewa somo
Mwambie huyo jamaa mi mwenyewe nlipita pale
Hiyo Mtabila jau sana...mnakimbia muda wote kama Bush Men anamsaka mwanaeHakuna kambi laini kama Ruvu Jkt..
Watu wameenda kambi wanene wamerud vile vile
nenda mtabila au kanembwa utaelewa somo
Hahahahahaha route ndefu kuruta ni mduduHiyo Mtabila jau sana...mnakimbia muda wote kama Bush Men anamsaka mwanae
Kambi laini ni maramba jkt,unene ni mwili wapo watu wameenda kozi ya ajira tpdf wamerud na unene mbnaHakuna kambi laini kama Ruvu Jkt..
Watu wameenda kambi wanene wamerud vile vile
nenda mtabila au kanembwa utaelewa somo
Tofautisha ugumu wa maisha na miundombinu mibovu na kozi unatumia kigezo gani kupita ubora wa kozi ni huo unene wa mtu kutopungua au 😅😅,rafik kapiga mujibu ruvu na kapiga kujitolea maramba kanipa experience na ndugu yangu kapiga kujitolea ruvu na mujibu huko kanembwa .Hakuna kambi laini kama Ruvu Jkt..
Watu wameenda kambi wanene wamerud vile vile
nenda mtabila au kanembwa utaelewa somo
Hivi zimamoto walitangaza nafasi za watu wangap?....
Maana naona interview wameitwa watu 101 tu.