Basi kama ni maelekezo kwani elimu ya juu haipo kwenye maelekezo? au yalematangazo huwa wanatuhadaa tu watoto wa choka mbaya afu wanatumia maelekezo mapya ya watu walaji watu huwa hawaujui uchungu wa mtu mwenye nia au ndoto na kitu akakikosa kisa ujinga wa mtu mwingine mwenye nguvu kwa muda huomnaongea sawa ila sifa ya mwanajeshi ni kufuata maelekezo....