Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wapambanaji msikate tamaa , nlifanikiwa kuingia kwenye majeshi haya Kwa mbinde lakin nilifanikiwa ..... Na ukipata mbanga inakua kitonga zaidi . Kama juzi kuna Mzee mmoja alikua anatafuta vijana kutoka familia zenye maisha magumu na waliosoma either diploma o degree , idadi ya watu 30 amewapeleka polisi. Ko issue n kuomba mungu akukutanishe na watu sahihi .
 
Na kuna mshikaj mmoja alivaa mabomu akaenda makao ya jwtz Dodoma , akaenda na vyeti , kufika getin akatarget mlinzi mmoja akaomba kuongea nae ... Kamwelezea matatizo yake akamuomba kama atapendezwa amruhusu akamuone afande wa utumishi .... Yule mwana alifanikiwa kupata mtu ambaye alimpambania adi akapata nafas , ndo kaapa juzi Monduli .
 
Na kuna mshikaj mmoja alivaa mabomu akaenda makao ya jwtz Dodoma , akaenda na vyeti , kufika getin akatarget mlinzi mmoja akaomba kuongea nae ... Kamwelezea matatizo yake akamuomba kama atapendezwa amruhusu akamuone afande wa utumishi .... Yule mwana alifanikiwa kupata mtu ambaye alimpambania adi akapata nafas , ndo kaapa juzi Monduli .
Itakuwa wakati wa CP Fulani kabla ajatoka japo muda Alikuwa anakaza sana mibanga Kuna muda haisomeki
 
Pia kibogi hiki kilikuwa special kwaajili ya PCM,PCB na PGM so kuna watu wa kozi tofauti na hizo wameshindwa kupachikwa.
 
Juzi walimu ndio wamepelekwa monduli kwaajili ya kuwanoa vijana so kujua kozi inaanza lini bado sijajua.
Anha sio ya monduli nazungumzia kozi Hawa form six mujibu wa sheria wa mwaka huu ile kozi ya awali.
 
Mkuu huku kwenye majeshi mengine umesha give up au
Kufanya kazi za ulinzi haimanishi umegive maisha au umegive kitu fulani hapana kiongozi kamanda.

Nadhani njia za utafutaji zipo nyingi halali tu,ni vyema ukafanya kazi ili maisha yasonge maisha ya kusubiri kazi ikiwa huna kazi ni maisha ya kudumaa kiakili hadi uanaume

Maisha yanataka utafute kwanza chaka kama ikitokea another bigger Chance than the first or currently you hold una piga chini unahamia kwengine.

Tusikate tamaa ila kazi tufanye kusubiri ajira siyo lazima kwamba lazima ajira upewe so tujiongeze tusikae tu mtaani
 
Wapambanaji msikate tamaa , nlifanikiwa kuingia kwenye majeshi haya Kwa mbinde lakin nilifanikiwa ..... Na ukipata mbanga inakua kitonga zaidi . Kama juzi kuna Mzee mmoja alikua anatafuta vijana kutoka familia zenye maisha magumu na waliosoma either diploma o degree , idadi ya watu 30 amewapeleka polisi. Ko issue n kuomba mungu akukutanishe na watu sahihi .
Watu kama hawa wako wapi,niunganishe naye huyo kiongozi
 
UT wamepata kibali January wanatangaza ajira haya nj Maneno ya Waziri Masauni akiwa jana TUCTA_UKONGA Kugunga kozi ya uongozi daraja la Pili na uongozi Daraja la juu kwa Maafisa wa Magereza
 
Kufanya kazi za ulinzi haimanishi umegive maisha au umegive kitu fulani hapana kiongozi kamanda.

Nadhani njia za utafutaji zipo nyingi halali tu,ni vyema ukafanya kazi ili maisha yasonge maisha ya kusubiri kazi ikiwa huna kazi ni maisha ya kudumaa kiakili hadi uanaume

Maisha yanataka utafute kwanza chaka kama ikitokea another bigger Chance than the first or currently you hold una piga chini unahamia kwengine.

Tusikate tamaa ila kazi tufanye kusubiri ajira siyo lazima kwamba lazima ajira upewe so tujiongeze tusikae tu mtaani
Nimekuelewa kamanda wangu....mhimu maokoto mengne yatajulikana mbele
 
Back
Top Bottom