NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

Mbona kuna option ya ku-share files zako na PC bila itune yaani naweza nikatengeneza folders kwenye iCloud drive na nikifungua PC nakuta zile files muda huo huo na uki-save files kwenye PC wakati huo huo unalikuta kwenye iPhone, shida yetu sie Watz tunatumia simu kama mbadala wa PC na ndio maana tunalilia sana na watu wanaomilki simu za iPhone wakati ukweli simu ni kifaa saidizi mpaka mtu amenunua iPhone maana yake ana vifaa vingine vya ziada ambavyo vipo linked na simu yake
 
Wewe jamaa una iq ndogo.
Hayo yote uliyosema kuwa iPhone hawezi Mbona Mimi nayafanya.
 
Yani mtu ananunua kitu bila info halafu analalamika kuwa hakifanyi hiki, ni sawa ununue samaki halafu useme mbona haina taste ya nyama.
Watu hawajui tu iPhone ni simple sana kuitumia hasa kwa sie tusiokuwa wataalam wa IT kikubwa ni kujua kucheza na iCloud drives na ku-link up na PC yako na bila kusahau password ya icloud email
 
Mbona kuna option ya ku-share files zako na PC bila itune yaani naweza nikatengeneza folders kwenye iCloud drive na nikifungua PC nakuta zile files
Kwa lugha fupi utagharamika kununua bando ili udownload hizo files, shida yote ya nini hii wakti android ukipachika cable yako unaanza kazi.
wakati ukweli simu ni kifaa saidizi
hebu sahisha hapo, andika iphone ndio kifaa saidizi, simu gani haina hata redio 🤣🤣
mtu amenunua iPhone maana yake ana vifaa vingine vya ziada ambavyo vipo linked na simu yake
Acha kuropoka aisee, hapa bongo wapo watu kibao tu wana hizo iphones ila hawana hata laptops
 
Unanunua cm ili uckilize Dw [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
huku hatununui simu kwa kufata mkumbo, tunaunua kulingana na mahitaji yetu.

Android ni kama mbuga ya serengeti utaweza kuona wanyama wengi sana na vivutio vya asili kwa gharama unayostaili kulipia na ukaridhika, iphone ni kama kwenda mbuga ghali ya dubai yenye wanyama wachache alafu unaaminishwa (branding) kwamba umefaidi kuzidi Serengeti
 
GB5 yani robo ya kile wanachotoa G-DRIVE
 
mafundi simu wanaangalia jinsi ulivyo, kioo utachouziwa wewe laki 8 mjanja anauziwa laki .... ,

Hapa umeongea pumba kubwa tena kali mno, vioo vinauzwa kwenye maduka ya accessories kama hawa mawakala kina excellent au Samsung wenyewe

Watu wote wanajua bei ya kioo cha Samsung ni almost 40% ya original price ya simu
 
zipo simu kibao za High end kwa android, Samsung akitoa wenzake wanaweka.

Android ni mbuga yenye simu kibao, sio lazima kutumia samsung.

huku android hakuna mayanyasio kama ya iphone ambae akiamua kutoa kitu flani kwenye simu hakunaga wa kumbishia.
Ndo kinacho kuuma??
 
Kama ni memory card, hiyo sony imeuza unit ngapi?
Ndio maana nimekwambia iphone ni package, ukichanga package ya vitu vyote basi ndio maana inapendwa.
Sio tu eti unanunua simu kisa labda memory card, tu.
 
Kama ni memory card, hiyo sony imeuza unit ngapi?
Ndio maana nimekwambia iphone ni package, ukichanga package ya vitu vyote basi ndio maana inapendwa.
Sio tu eti unanunua simu kisa labda memory card, tu.
Tupo tunaopenda kununua hizo simu sababu ya memory cards, ni sawa na atayeenda kununua laptop hata ikiwa na ukubwa wa 1 terabyte, bado atapenda kuwa na external hard disc kwa matumizi yake mengine binafsi.
 
Tupo tunaopenda kununua hizo simu sababu ya memory cards, ni sawa na atayeenda kununua laptop hata ikiwa na ukubwa wa 1 terabyte, bado atapenda kuwa na external hard disc kwa matumizi yake mengine binafsi.
Ni wachache ndio maana hiyo sony haiko hata kwenye top 10 ya kampuni zinazoongoza kwa mauzo.
iPhone haijawahi kuwa na memory card toka wameanza tengeneza na imekuwa iko top 3 kwa mauzo na hapo anauza highend phones.
Na wengine wamefuata hawana memory card kama yeye.
Iphone haijawahi kuwa na betri la kutoa mwanzo waliisema wee, sasa hivi karibu simu zote highend na low end kampuni almost zote hazina betri la kubandua mfuniko na kutoa.
Iphone kaondoa earphone jack, mwanzo hadi samsung walitoa tangazo la kuimock, sasa almost highend phones zote zinafuata hivyo.
Hata mleta mada sidhani kama ana highend phone ya recently na kama anayo haiwezi kuwa hiyo sony maana hata hawezi kuafford kuinunua hiyo sony ni ghali sana, maana tayari ashalalamika bei huko juu.
 
kama ikiibiwa au kupotea.iphone ndo simu ambayo huwezi kubadili account , ambayo ni icloud. hata ufanyeje hutaitoa labda ubadili hardware.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…