NAFUMUA MSHONO: Simu za iPhone ni mdebwedo, wanaozitumia ni watu wa kufuata mkumbo bila reasoning. Simu za Android ndio mpango mzima!

mleta mada haelewi chochote.
 
iphone ndo simu ambayo huwezi kubadili account, ambayo ni icloud. hata ufanyeje hutaitoa labda ubadili hardware.
Mkuu haupo serious, japokuwa me situmii iPhone Ila najua kama unaweza kuchange iCloud account, labda uelezee unaongelea kuchange kivipi?

Watu wanauziana iPhone na wanachange iCloud account, hayo Mambo ya kurithi iCloud account ya mwenzio km mikoba ya uchawi ilikuwa Mambo ya kizamani

Me Kwa macho Yangu nimeshuhudia watu wanachange iCloud account, inawezekana wewe ndio umebakia hujajua wenzio wanafanyaje, inabidi ufanye ku update knowledge yako juu ya Hilo Jambo Mkuu
 

Kwani lazima kuhamisha kwenye memory card?
Kompyuta zi zipo
 
nikilipia hii natumia internet mwaka mzima ndani ya iPhone

 
namaanisha ikiibiwa au kupotea haibadilishiki, nilikosea kidogo kwenye kuandika
 
namaanisha ikiibiwa au kupotea haibadilishiki, nilikosea kidogo kwenye kuandika
Ok, nimekupata ila ata hapo pia kuna utofauti Sana na zamani, Mzee wangu Mie anatumia iPhone 8 na alisahau password za iCloud akahangaika Sana bila mafanikio na simu ilikuwa na Mambo yake muhimu Sana ya biashara, kishingo upande ikabidi aiweke Tu ndani almost 7months

Siku moja yupo job, akawa anashea na mtu kuhusu kupoteza vitu muhimu kwenye simu baada ya kushindwa kufungua iPhone yake, jamaa akamwambia me nawajua watu wanaweza kufungua, Mzee akabisha Jamaa akamwambia Kesho njoo nayo pamoja na laki 2

Kesho yake mshua akampelekea Yule mtu simu na laki 2,akataka nayeye aende pamoja na mshkaji ila Yule jamaa akasema hawa watu hawataki kujulikana we kaa Tu usubiri simu yako, baada ya km masaa 3 simu ikarudi imefunguka, na ndio anatumia tena Hadi saizi
 
Nimesoma yote, sina cha kukosoa ila cha kuongezea labda unge tuma na ubora wa ios ndipo tuweke mlingano wake.

Mfano kwenye muonekano, hardware nk maana kwenye maelezo yako umegusia camera mabayo sizan kama ipo kwenye upande wa os .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kama nabisha
Lakini naamini hizi ni hadithi za kusadikika

Kuna iphone 6+ moja na 7 tatu na na iphone x moja tumehangaika nazo weee hakuna aliyeweza kuzifungua

Hao jamaa wanatakiwa kutengeneza pesa ndefu sana
Nipe connection nifanye nao kazi
Najua chimbo la iphone bei bwerere ambazo zipo iCloud locked nizinunue jamaa wanifungulie kwa 200k nipige hela
 
Mkuu Una haki ya kudhania kwamba ni hadithi za kusadikika ata Mie nilikuwa naamini hivo, Hadi pale mtu ambae nipo nae yalipomkuta namie kama kijana wake nikatembea na simu hiyo weeee bila msaada, nikamrudishia mwenyewe

sio kama me sitaki kupata hizo connection za huyo jamaa, nahitaji Sana maana najua kuna pesa, Ila Mzee alizingua kunipa direct info kulingana na terms alizopewa na mshkaji, niliishiia Tu kuangalia simu ya Mzee ikiwa uchi na mazaga yake yapo, kilichofanya niandike hapa ni kuongeza hamasa Kwa walio interested na hizo Mambo wasikate Tamaaa coz inawezekana

Kwa nyie ambao mpo karibu na watu wanaodeal na iPhone basi fanyeni utafiti wenu vizuri, trust me brother kuna watu wanafungua, na naamini kuna watu wanawajua hao crackers ni kina nani ila wanafanya Tu privacy

nilichogundua wanafungua Kwa mpunga mrefu inategemea na umuhimu wa vitu vilivomo kwenye simu, Mzee alitoa laki 2 ni Kwa sababu anajuana na huyo aliempelekea simu, coz jamaa alibenefit kibiashara kupitia hiyo issue

Bahati mbaya siwezi kuthibitisha hii tofauti na maelezo yangu, ila atakaeamua kuniamini aamini na kisha ajikite kwenye kutafuta ukweli wa Mambo, na atakaeamua kuona kama ni uzushi fresh Tu, it doesn't cost me a damn Thing
 
namaanisha ikiibiwa au kupotea haibadilishiki, nilikosea kidogo kwenye kuandika
Uwe unatulia wakati unaandika, naona ulikuwa ume panic so ukaja kuitetea iphone kwa kukurupuka (utani)

Hizo iphone ulinzi wake ni 1 na 0 na siku zote kwenye ulimwengu wa computer hakunaga ishu isiyopenyeka inayokuwa na 1 na 0.

Hizo iphone kuna kipindi iliwahi kukamatwa ya gaidi aliekataa kutoa loki, polisi kwa roho safi wakaenda kampuni ya apple kuomba waiotoe wenyewe ila wakakataliwa, ikabidi wao wenyewe wacheze nayo wakaifungua chap chap tu 😂😂

kuna software kama itoollab, passfab, iN-Box, n.k zinaweza haya mambo ila ni uhalifu kufanya hivi ndio maana mafundi simu wengi hawataki kutoa hii huduma.
 
Tuhitimishe tu kwa kusema Android phones nyingi nikwajili ya sisi masikini.

Huwa najaribu kutafakari Apple wanatoa simu za hadhi ya juu pekeake hawana matolea ya bei ndogo kwajili yetu walalahoi ila bado inashindana na kina Samsung ambao wanatengeneza simu za hadhi ya juu na matakataka mengine kibao ambayo wengi ndo tunayatumia
 
Ishu sio ulazima, Ishu ni kwamba iphone HAIWEZI

Sio kila mtu ana computer
Na sio kila mtu ana memory card

Akili ya kawaida tu inakataa kufanya backup ya simu kwenye SD card badala ya Computer
Watu makini wanafanya backups zao kwenye computer au online na sio SD card ambayo ni rahisi kupotea na rahisi sana ku corrupt mazima
 
Ishu sio ulazima, Ishu ni kwamba iphone HAIWEZI

Sio kila mtu ana computer
Na sio kila mtu ana memory card

Akili ya kawaida tu inakataa kufanya backup ya simu kwenye SD card badala ya Computer
Watu makini wanafanya backups zao kwenye computer au online na sio SD card ambayo ni rahisi kupotea na rahisi sana ku corrupt mazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…