Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Nafuta mume ambaye hatoomba ngono kabla ya ndoa

Sex Ni hitaji muhimu kama tu kula lakini nadhani hizi ni fikra/mawazo ya kitoto bado hujakuwa sana kuweza kuchanganua mambo
Mfano ukiwa kwenye uhusiano na mtu kwa mwaka mmoja inabidi awe na uhusiano mwingine kwaajili ya sex ambapo huwenda akakolea na kuamua kumuoa huyo na akakuacha wewe au akawa na nyie wote na siku akikuoa akaona huna maajabu akawa anaridhika zaidi kwa mwenzio ikafanya uachike au kuishi maisha ya migogoro kwenye ndoa lakini chanzo ni wewe bila kujua
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Nakutakia kila la kheri mdogo wangu, vp wewe hutomuomba hela?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Lkn pia umri wenu huo mnakuwa pasua kichwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Picha kidogo tuone Tabia zako nyuma (chini ya Mgongo)
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Romance je? Na mengineyo
 
Habar mm ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambae atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mm bila sex Hadi ndoa.

Elimu: chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini:muislamu .
Muonekano: mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate pm.
Wewe ni Bikila au? Tuanzie hapo kwanza
 
Pole mpendwa huku hupati hao wanaume wa hvyo weng wao wapitanjia .. nenda msikitini mweleze shekh umpe na mashart yote hayo atawaeleza vijana wanaohitaj mwenza na utapata wenye dini Inshaallah...huku hakuna wanaume mpenz ni vitombi tupu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]maniga mnafeki sana...
 
Pole mpendwa huku hupati hao wanaume wa hvyo weng wao wapitanjia .. nenda msikitini mweleze shekh umpe na mashart yote hayo atawaeleza vijana wanaohitaj mwenza na utapata wenye dini Inshaallah...huku hakuna wanaume mpenz ni vitombi tupu
Umejuaje mkuu???

Na Sisi ndio tupo huko misikitini ujue
 
hahahahaha

kama huna K je ? na hapo nishakuoa, si mahari itakua imeenda bure bure ?
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Angalia age gap, wewe utapofikisha umri wa miaka 35 yeye atakuwa na miaka 45, hapo anaanza kuishiwa nguvu za kiume wakati huo wewe ndio unaanza kukolea ukitamani ngono zsana, chukua mtu mwenye 25-26 ili muweze kukaa muda mrefu mkifurahia tendo la ndoa, wanawake wenzako wengi wanapitia hili tatizo kwa sasa la wanaume zao kushindwa kuwaridhisha kwa tendo la ndoa, wako wengi wenye shida hii, nisngependa binti yangu upitie hayo, chukua hatua hatua wakati unajiandaa kupata mchumba. 30 years anaanza vibaya uta enjoy muda mfupi
 
Angalia age gap, wewe utapofikisha umri wa miaka 35 yeye atakuwa na miaka 45, hapo anaanza kuishiwa nguvu za kiume wakati huo wewe ndio unaanza kukolea ukitamani ngono zsana, chukua mtu mwenye 25-26 ili muweze kukaa muda mrefu mkifurahia tendo la ndoa, wanawake wenzako wengi wanapitia hili tatizo kwa sasa la wanaume zao kushindwa kuwaridhisha kwa tendo la ndoa, wako wengi wenye shida hii, nisngependa binti yangu upitie hayo, chukua hatua hatua wakati unajiandaa kupata mchumba. 30 years anaanza vibaya uta enjoy muda mfupi
Very Logical mwisho wake ni kuanza umalaya uzeeni 😂😂😂
 
Sifa karibu zote hapo ninazo.
Safari hii nimejipanga kupata jiko hapa JF.
Kazi kwako, binti labda ushindwe mwenyewe tu sasa.
 
Habari mimi ni msichana wa miaka 21 natafuta mchumba ambaye atakuwa tayari kuwa na mahusiano na mimi bila sex hadi ndoa.

Elimu: Chuo mwaka wa pili. Nachukua degree ya special education.
Dini: Muislamu .
Muonekano: Mwili wa wastani mweusi.
Situmii kilevi chochote.

SIFA ZA NIMTAKAE.
Awe muislamu, umri miaka 25 Hadi 30. Awe na kazi . Elimu kidato cha nne nakuendelea Ila ni vizuri zaidi akiwa amefika chuo.

Awe mwembamba, mrefu au wastani rangi yeyote. Mwenye sifa hizo anifate PM.
Hapo Ni Yesu tu ndo anakufaa
 
Back
Top Bottom