polisi nje ya siasa ni watu makini sana,haya mengine ni madhaifu ya katiba tu.Kwa taarifa yako wanaotegemewa kufanya hiyo kazi ni kina Kingai, Goodluck, Mahita yaan hao ndio think tank ya jeshi, kwahiyo tegemea usichokitarajia.
mwanzo nilisikia wanasema kua footage ya cctv ndio iliconfirm kua beki 3 kaua, kweli dunia tambara bovuBaba yake alipohojiwa amesema CCTV camera hazifanyi kazi kwenye nyumba yao.
Huyo baba nae ahojiwe vizuri,kwa nini anaweka CCTV hazifanyi kazi? au amegundua mtoto sio wake? ni wa mchepuko?mwanzo nilisikia wanasema kua footage ya cctv ndio iliconfirm kua beki 3 kaua, kweli dunia tambara bovu
Right.Sasa mbona maswali yote yalioyatakiwa kuulizwa polisi umemealiza mkuu,mimi hapa ningependelea kama watarudi nyuma kidogo kufuatilia h/girl alieondoka, kama point 5 hapo juu,maana kuna kitu hakiko sawa hapo.Huyu mpya kikawaida ni vigumu sana kufanya tukio la namna hii,ni lazima kutakuwa kuna mkono wa mtu mwingine hapo...
usikimbilie kuandika mambo mengiii ambayo hayana msingi, cctv zimenesa tukio, h/g alikuwa na siku tatu majirani na hiyo miche puko inahusikajeNimesikiliza kwa juu juu hii habari ya "housegirl" kumuua mtoto Kimara lakini kwa hisia tu nahisi huyu housegirl ni muhanga wa jambo ambalo linaweza kuwa limejificha.
1. Jambo hili linaweza kuwa limefanywa na mtu kwa wivu tu wa kuionea wivu familia. Ukitazama familia inavyoonekana haikosekani binadamu wa kuionea wivu.
2. Yawezekana baba ana mchepuko unaoweza kuona labda mtoto ni kikwazo kwa mambo mengi kwake
3. Huyo mtu aliyemleta housegirl ni nani? na ana mahusiano gani na familia hiyo.
4. Wakati hawana housegirl, ni nani waliyemuacha kuangalia nyumba pamoja na kijana, maana nimemsikia mama akisema hakuwa na housegirl. hapa nataka kusema inawezekana kuna watu waliwaachia uangalizi wa nyumba na walifaidika na jambo hilo, ujio wa housegirl mpya ukakata faida iliyokuwa inapatikana na binadamu kila mtu ana akili zake jinsi ya kutatua tatizo.
5. House girl aliyeondoka aliondoka kwa sababu zipi na yuko wapi?
6. Katika majirani na marafiki wa familia nao wahusishwe.
7. Huyo housegirl anayedaiwa kuuwa afuatiliwe alikotoka alikuwa mtu wa aina gani?
Maana yangu ni kama kuna mtu amefanya uamuzi wa kipuuzi kumuua mtoto kwa sababu ya kipuuzi tu ndogo, tuwaombe vyombo vya uchunguzi wamtafute huyo mtu mpaka apatikane na tusimbebeshe "housegirl" kama siye yeye aliyetenda.
Tena mtt wa kiume. Laziim vurugu zingekuwepoKwa umri wa mtoto ni ngumu kwa dada wa kazi kummudu na kumuua, bila kuwa na vurugu.
Ni ngumu mno, mtoto wa miaka 8 humuui kirahisi, utapigwa meno nk.
Kwa tulio na watoto tunaelewa ukubwa wa mtoto wa miaka 8. Anakuwa yuko darasa la 2 au 3 hivyo sio rahisi kwa dada wa kazi kumuua kwa kunyonga shingo.
Kwa jinsi nilivyoangalia na kusikia kwa umakini, hili tukio huyo mtoto alifika akiwa amepigwa huko aliko akafika home akiwa katika hali hiyo.
Ngumu sana mfanyakazi wa siku 2 aanze kumpiga mtoto, pia ni ngumu mno kuua afu mtu abakie hapo na mbaya zaidi ampigie simu mama kumuelezea hali ya mtoto kuwa mbaya.
Nawasilisha.
Hata mimi nimetumiwa hio voice note.Aisee yanaibuka mengi sana kuhusiana na hili tukio. Hata mimi nilijiuliza sana binti wa kazi akae siku mbili aue mtoto labda awe kichaa kabisa. Pia polisi wakishirikiana na TCRA wafuatilie kuna "voice note" inasambaa mtandaoni kuna mama anasema yeye ni jirani na hiyo familia na ameona kwenye CCTV binti wa kazi akimnyonga mtoto. Polisi wamuhoji huyo mama maana hapa naona wachangiaji wanasema baba wa mtoto kasema CCTV haifanyi kazi/ilizimwa siku mbili kabla. Sasa huyo mama aliona kwenye CCTV ipi?
EhHuyo baba nae ahojiwe vizuri,kwa nini anaweka CCTV hazifanyi kazi? au amegundua mtoto sio wake? ni wa mchepuko?
Hatari sanaNaomba kwa Wanaokumbuka juzi juzi hapa kuna mtu Alileta Story ya yeye kuzaa na Dr. Na Alidai mke wake Kamzalia Watoto wa Kike tuu ila huyo Dr Kamzalia mtoto wa Kiume na Kapewa Baba Mwingine Asije kuwa ndo huyu Mdau wa Humu Ndani Kafanya yake Make Alielezea Kwa Uchungu Sana Mliosoma kumbukeni.
Hakuna cha cctvHata mimi nimetumiwa hio voice note.
Ndomana hata mimi nlisema polis wachunguze pia huko shulen alipokuwa hadi kwenye school busKwa umri wa mtoto ni ngumu kwa dada wa kazi kummudu na kumuua, bila kuwa na vurugu.
Ni ngumu mno, mtoto wa miaka 8 humuui kirahisi, utapigwa meno nk.
Kwa tulio na watoto tunaelewa ukubwa wa mtoto wa miaka 8. Anakuwa yuko darasa la 2 au 3 hivyo sio rahisi kwa dada wa kazi kumuua kwa kunyonga shingo.
Kwa jinsi nilivyoangalia na kusikia kwa umakini, hili tukio huyo mtoto alifika akiwa amepigwa huko aliko akafika home akiwa katika hali hiyo.
Ngumu sana mfanyakazi wa siku 2 aanze kumpiga mtoto, pia ni ngumu mno kuua afu mtu abakie hapo na mbaya zaidi ampigie simu mama kumuelezea hali ya mtoto kuwa mbaya.
Nawasilisha.
Uko sawa kabisa. House girl asingeweza kukaa kwa siku Tatu aue mtoto, amalize na Mpigie mama mtoto simu kuelewa Hali ya mtoto, Bado mama wa mtoto aje amkute mtoto kafa na House girl yuko hapo nyumbani hajakimbia.Kweli kabisa, mie nilifikiria sana kuhusu jambo hilo na nilihisi kuwa huyo haouse girl hausiki na mauaji ya mtoto. Kwa maelezo ya wazazi wote walisema alipiga simu kuwa mtoto ana tatizo na alikaa mpk walipofika
Inaonekana kuna mtu alifanya jambo na kutoweka na kumwachia msala house girl. Inahitajika uchunguzi wa kina sana ila nafsi yangu inakataa kuwa house girl kahusika. Uchunguzi utabaini tu
8. Mtoto aliyenyongwa lazima ajikojolelee au kutoa haja kubwa kabla hajafa, je mtoto alikuwa na Hali hiyo?