Nahisi "house girl" anayedaiwa kuua mtoto ni muhanga

Kwa taarifa yako wanaotegemewa kufanya hiyo kazi ni kina Kingai, Goodluck, Mahita yaan hao ndio think tank ya jeshi, kwahiyo tegemea usichokitarajia.
polisi nje ya siasa ni watu makini sana,haya mengine ni madhaifu ya katiba tu.

subiri ripoti utakubali.
 
Jana ktk taarifa ya habari ITV, waliripoti kwamba ktk hiyo nyumba kulikuwa na house boy nae pia amekamatwa kwa uchunguzi zaidi,
Maziko ya mtoto ni leo kinondoni,
Rip Ericson Kimaro,
 
mwanzo nilisikia wanasema kua footage ya cctv ndio iliconfirm kua beki 3 kaua, kweli dunia tambara bovu
Huyo baba nae ahojiwe vizuri,kwa nini anaweka CCTV hazifanyi kazi? au amegundua mtoto sio wake? ni wa mchepuko?
 
Hata km CCTV camera zilikuwa hazifanyi kazi, jee hizo alama akizokutikana nazo mtt haziwezi kusaidia kupata fingerprints za muhusika?

Lkn pia ni nani anaweza kuingia ndani ya nyumba au chumbani mwa watu na kumnyonga mtt kama Sio mtu wa karibu?

Hii kesi kweli Sio ya kuichukulia kijuujuu.
 
Right.

Ila pia anaweza kuwa amefanya kama katumwa.

Au kama ni katika wale wanoijiingiza katika ulimwengu wa mambo ya kichawi wangali wadogo. Mana dunia ya leo ina mambo ya kushangaza sana.

House girl ndani ya siku 3 awe ameua!!!!?
 
Hapa kuna jambo huenda hilo tukio limefanywa na mzee baba mwenye nyumba kwa hasira kwamba huenda si damu yake
 
Kwa maelezo ya Yule mama hakuna mwenyewe uhakika kama Yule house girl ndyo kauwa na inavyoonekna kuna mengi nyuma ya pazia au labda Yule house girl kapewa boka Ila muuwaji ni mwingine ni ngumu mtu aje siku tatu alafu atekeleze mauwaji kuna mtu nyuma ya hili
 
usikimbilie kuandika mambo mengiii ambayo hayana msingi, cctv zimenesa tukio, h/g alikuwa na siku tatu majirani na hiyo miche puko inahusikaje
 
Kwa umri wa mtoto ni ngumu kwa dada wa kazi kummudu na kumuua, bila kuwa na vurugu.

Ni ngumu mno, mtoto wa miaka 8 humuui kirahisi, utapigwa meno nk.

Kwa tulio na watoto tunaelewa ukubwa wa mtoto wa miaka 8. Anakuwa yuko darasa la 2 au 3 hivyo sio rahisi kwa dada wa kazi kumuua kwa kunyonga shingo.

Kwa jinsi nilivyoangalia na kusikia kwa umakini, hili tukio huyo mtoto alifika akiwa amepigwa huko aliko akafika home akiwa katika hali hiyo.

Ngumu sana mfanyakazi wa siku 2 aanze kumpiga mtoto, pia ni ngumu mno kuua afu mtu abakie hapo na mbaya zaidi ampigie simu mama kumuelezea hali ya mtoto kuwa mbaya.

Nawasilisha.
 
Tena mtt wa kiume. Laziim vurugu zingekuwepo
 
Hata mimi nimetumiwa hio voice note.
 
Hatari sana

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ndomana hata mimi nlisema polis wachunguze pia huko shulen alipokuwa hadi kwenye school bus

Ova
 
Uko sawa kabisa. House girl asingeweza kukaa kwa siku Tatu aue mtoto, amalize na Mpigie mama mtoto simu kuelewa Hali ya mtoto, Bado mama wa mtoto aje amkute mtoto kafa na House girl yuko hapo nyumbani hajakimbia.
2. Maelezo ya wazazi yanaonyesha kulikuwa na House girl wa awali yuko wapi? Aliondoka sasa yuko Mkoa gani? Aliondoka kwa mazingira yapi? Inawezekana Dr Kimaro alikuwa amekuwa naye kimapenzi then wakamfukuza akaja kinyemela kwa kufanya mahoka Ili kumkomoa.
3. Kuna maelezo kuwa kuna House boy aliyekuwa amekuja na kuondoka. Yuko wapi na Anafanya kazi wapi?
4. Hili eneo walikojenga nyumba lilikuwa mali ya nani na walilipataje? Isije ikawa Dr alinunua nyumba kwenye minada ya bank mwenye nyumba akaja kufamya yake baada ya kudhulumiwa nyumba.
5. Je kijana aliyefariki alikuwa mtoyo wa Dr? Isije ikawa mke alipiga nje akasingizia mtoto ni wa Dr kumbe ni wa baba mwingine wanawake maDr nayo wana vituko vyao, , then baba mwingine akaja kufanya yake?
6. Je wakati mtoto akiwa amelala mlango, geti vilikuwa wazi? Je huyo binti alikuwa umbali gani ?
7. Kabla mtoto hajatoka shule binti wa kazi alikuwa na nani huko nyumbani?
8. Mtoto aliyenyongwa lazima ajikojolelee au kutoa haja kubwa kabla hajafa, je mtoto alikuwa na Hali hiyo?
9. Je Huyo binti wa kazi hicho ni kituo chake cha ngapi cha kufanyika kazi? Kama ameshafanya pengine historia yake ilikuwa je?
 
Uyo mtoto mama alie kua ana ishi nae ni Mama yake mzazi au wa kambo na Wana mtoto mwengine au ndo huyohuyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…