Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
A big difference, SI wa kiume Ina tupasa kupambania Malengo yetu.Sasa kukaa JF inahusianaje jaman[emoji23][emoji23]
Yaani afanyie ilo kazi mda wote yupo humu kukesha mimi sipendezwi kabisamshamba_hachekwi we ni mdogo angu, chukua ushauri mzuri ulio pewa na uutendee kazi.
👉 Kuhusu suala la mukesha jf punguza, Kuna maisha baada ya chitchat🤒
Ndo Mana mi naeza disappear hata mwezi, ili kuzingatia yaliyo bora.🤒.Yaani afanyie ilo kazi mda wote yupo humu kukesha mimi sipendezwi kabisa
hii last seen siondoi waendelee kuteseka😂Haya bana
mshamba_hachekwi punguza kukaa JF, watu hawapendi😂😂😂
Naomba uanze kilimo, kuna mashamba huku machame ngoja nikutafutie kibarua
Sio kwa ubaha, ila muda ni rasilimali muhimu.Haya bana
mshamba_hachekwi punguza kukaa JF, watu hawapendi😂😂😂
Naomba uanze kilimo, kuna mashamba huku machame ngoja nikutafutie kibarua
Una hisi una mkomoa mtu, kweli the game is soakedhii last seen siondoi waendelee kuteseka😂
Kabisa. Yeye kulal saa kumi kuamka saa tano akiamka ndio bas tena anabadilisha majukwaa tu akiwamntioniwa huyo akiqoutiwa huyo yumo yani yeye yupo live kama kisimbuziNdo Mana mi naeza disappear hata mwezi, ili kuzingatia yaliyo bora.🤒.
mshamba_hachekwi una Kumbuka I was absent for more than20 days.Kabisa. Yeye kulal saa kumi kuamka saa tano akiamka ndio bas tena anabadilisha majukwaa tu akiwamntioniwa huyo akiqoutiwa huyo yumo yani yeye yupo live kama kisimbuzi
Mwambie tu ukweli😂😂😂Una hisi una mkomoa mtu, kweli the game is soaked
Umeona.uko.juu anasema sisi tuna teseka yeye kukesha jf mimi nikiongea tena kuhusu huyu bas mzeemshamba_hachekwi una Kumbuka I was absent for more than20 days.
👉Una hisi Kama ni shamba halija limwa🤒.
👉Kama ni kibarua sijafanya🤔
ili niwe nakuona wewe mtoto mzuri, sipingi😁Mwambie tu ukweli😂😂😂
mshamba_hachekwi sema nkuunganishe kwenye kibarua kesho au?
Darlin we utaolewa mpendwa, but what about us🤔.Mwambie tu ukweli😂😂😂
mshamba_hachekwi sema nkuunganishe kwenye kibarua kesho au?
fainali uzeeni🤒, mshamba_hachekwi Kesha kijana, kula na shisha kabisa🙏Umeona.uko.juu anasema sisi tuna teseka yeye kukesha jf mimi nikiongea tena kuhusu huyu bas mzee
Zaman mtoto wa mwezio alikuwa wako sasaiv mtoto wa mwezio muogope
Pumbavu una akili ndio maana unakorofishan na mama yako.kwa misimamo ya kijinga endelee na ujinga wako.unategema atakuja kukuambia nani? Hao wakina.@leejay unao kesha nao wanakiasi huwakut mda wote jf unaambiwa unaleta jeuri bak na jeur uone itakufikisha wapihii last seen siondoi waendelee kuteseka😂
kua na pisi kali tayari ni lengo mbona😅😂😂😂😂
We kumbe huna malengo, unaambiwa hili unajibu like😂😂😂shenzi kabisaaaa
Achana nae huyo mimi nilishaanza kumkata mapema tu nilipokuja kugundua yeye na jf ni kama macho na kope na mbishi af anajifanya don't care haya utaona endelea kuvaa cheni kama utepe wa kuzindulia barabara ya mianzinfainali uzeeni🤒, mshamba_hachekwi Kesha kijana, kula na shisha kabisa🙏
Namaanisha Bora nyie was kike, vipi kuhusu sisi kina nyamkende wa nanjilinjii 🤒.😁😁😁kwamba tunaoolewa hatujitafuti
Ngoja nilale miee kesho niwahi kwenye mahangaiko
I nafanya kazOy Mwachiluwi hebu ni on, naona Kama yangu haifanyi kazi vile🤔