Nahitaji kumpima DNA za Mtoto, Naomba kufahamu taratibu za upimaji

Una laki ya chap apo Kwana uje tuongee pm
 
kumekuwa na malalamiko ya majibu ya uongo ili kuepusha mtoto kukosa matunzo

wazo langu, dawa ni kupeleka sample 2 hadi 4 za baba ili wajimix kwenye majibu yao
 
Mimi mwenyewe nishatia mimba demu wa mtu alafu nikamwambia mpe huyo jamaa yako.

Kifupo tu kuwa makini na wanawake hasahasa kwenye mimba. Kuwa makini mno, wengi wanalea Watoto sio wao
 
Tafuta mwanasheria atakusaidia. Mind yu kuna kiapo utaapa kwanza hata ikijulukana mimi sio biological father of this child bado ntaendelea kumlea kumhudumia MUNGU NISAIDIE. Unashusha mkono unasaini chini ya kamishina wa kiapo. Bro kinachofata utaambiwa mtoto ni wako either ni wako au si wako majibu utapewa kuwa 100%. Mtoto ameonekana ni wako. Muhimu ni afya yako ya akili. Either ni wako sio wako usihangaike. Ni cheki Dm nikusaidie ushauri mkuu
 
Bora uache, unless ukajaribu kupima nje ya nchi, maana niliwai soma humu hata kama sio wako watasema ni wako, lengo ni kupunguza watoto wa mitaani/wasio na walezi.
 
Hakika,
 
Yaani kuwa na uhakika na jambo ndiyo siku hizi mnaita mawazo ya Kishetani? Kweli jamii ya sasa ipo spidi na ni ya kinyonge sana. Mara mia ukachukue watoto mtaani ulee kuliko wa kubambikiwa.
Sisi kwa unafki bhana eti Bora ukachukue mtoto wa mtaana!
 
Sisi kwa unafki bhana eti Bora ukachukue mtoto wa mtaana!
Siyo unafiki, hiyo maana yake kuliko kuletewa kwa kugeuzwa tutusa. Mtoto wa hivyo ana haki zote za kulelewa na wengine ila siyo huyo aliyebambikiwa.
Haya mambo ya kuchukulia vitu kiwepesi ndiyo maana siku hizo hata kugeuzwa ninyi mnaona ni poa tu na ni haki yenu pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…