Nahitaji mtu mwenye wazo la Kibiashara ambalo litatusaidia kutengeneza pesa nyingi

Ninazo idea nyingi sana hata danguro litaingiza pesa zakutosha
 
Mim naonaga wanaongea, ila duh kuja na new idea ni issue nen
 
Siamimini katika degree naamini katika akili, kama una copy na kupaste basi hujue hujakomaa akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ