Nahitaji mwanaume wa kunioa

Pole, kwa age yako hiyo tayari umeshafika mgaharibi nilazima upunguze vigezo.
Sass iko hivi skuhizi formular ni mojatu kabla ya kukuoa lazima tutest unashika mimba? Maana hizi P2 zimeawingiza vijana wengi mkenge, so tumestuka.
 
Karibu Pm tuyajenge ila mimi sio mchaga wa mcatholi nina 35 na mtoto mmoja
 
vipi bikra ipo?
 
Rombo ni kwa wajomba zangu na nimeshafika na kuishi kwa muda. Rombo gani? Mamsera, Mengwe, Keni, Shimbi, Mkuu, Ushiiri, Mashati, Useri au Tarakea? Vahave ni msoro au mndu mfedhe? Kyeiki wala dhunu!
Sawasawa, mfele,ndi mashati
Hiki kichaga chako ni cha useri eeh
 
(Akiwa chaga itapendeza zaidi)
Umeomba vizuri sana, wachaga oaneni ninyi kwa ninyi...nakuombea ufanikiwe
 
Mkuu hii hasira yako inatokana na nini? You must be a Saddist
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…