Nahitaji mwanaume wa kunioa

Nahitaji mwanaume wa kunioa

Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
Pole, kwa age yako hiyo tayari umeshafika mgaharibi nilazima upunguze vigezo.
Sass iko hivi skuhizi formular ni mojatu kabla ya kukuoa lazima tutest unashika mimba? Maana hizi P2 zimeawingiza vijana wengi mkenge, so tumestuka.
 
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
Karibu Pm tuyajenge ila mimi sio mchaga wa mcatholi nina 35 na mtoto mmoja
 
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
vipi bikra ipo?
 
Yupo single huyu
IMG_0612.jpeg
 
Rombo ni kwa wajomba zangu na nimeshafika na kuishi kwa muda. Rombo gani? Mamsera, Mengwe, Keni, Shimbi, Mkuu, Ushiiri, Mashati, Useri au Tarakea? Vahave ni msoro au mndu mfedhe? Kyeiki wala dhunu!
Sawasawa, mfele,ndi mashati
Hiki kichaga chako ni cha useri eeh
 
Namuomba MUNGU Anipe mchumba
na mimi ,Mimi mkristo mkatoliki mwanamke mvumilivu umri ni 29+, Libra,
Sio mnene sana/Chaga
Ni wa kawaida
Sina Ugonjwa wowote

Naomba kama kuna mwenye hitaji la mchumba tuchumbiane

Akiwa Chaga inapendeza zaidi na hata wengine inaruhusiwa (hii ni kwa sabbu wengi hamuwataki wachaga,)

Aishi popote duniani ntamvumilia tu
mwanaume awe na Umri tupishane awe na 35+ hata 40 itapendeza zaidi akiwa catholic itapendeza zaidi

Naomba msinitukane maana nitahuzunika ,I'd nyingine imefungwa na mod sababu ya mtu alianza kutukana nkamjbu

Akiiwa na mtoto itapendeza zaidi
K
wa maelezo mengine ni pm

E MUNGU nijalie na mimi
(Akiwa chaga itapendeza zaidi)
Umeomba vizuri sana, wachaga oaneni ninyi kwa ninyi...nakuombea ufanikiwe
 
Ushakunywa p2 zimekuchosha... Umetoa mimba hadi kizazi kimelegea... Umekesha bar na pombe na shisha umevuta... Miaka 29 umeona umeaga mashindano umeingia ktk ushangazi tena ushangazi wa kichaga 💩🤣 unataka mwanaume...
Weee shangaz wee embu kuwa serious basi, cha muhimu kwa sasa subiri kuzalishwa utelekezwe ukae nyumban kwenu kishumundu uongeze idadi ya singo maza, uishie kuita wanaume wote mbwa 🤣💩🤣
Halafu najua utakuwa na komwe, embu tuache basi tulikuwa tumekaa kimya
Mkuu hii hasira yako inatokana na nini? You must be a Saddist
 
Back
Top Bottom