Nahitaji Mwanaume wa kunipa Ujauzito lakini hatohusika na Malezi ya Mtoto

Status
Not open for further replies.
🤣🤣🤣
Anajua wengi wetu tuna tamaa ya kuchovyachovya buyu la asali so anaona ni kama katupa fursa na hatuchengi hasa tulio na ukame wa asali.
Sasa si akapandikize tu hospital!?
 
Njoo bobo tumalizane
 
Wazee hua mnakua na changamoto za kiafya kama sukari, presha, nguvu za kiume, ndio maana nikaweka kigezo cha umri lakini kama yupo fit anakaribishwa
Ila anaweka kambi kabisa na tabia hizo unaacha
Kuhusu nguvu za kiume vijana wwnaongoza kununua dawa [emoji1]

Utapata wa kukusaidia mtoto mbona wengi tu
 
Kama uko tayari kuolewa, twende kazi. Ila kama ni suala la mimba tu, aisee sahahu! Yaani mtoto wangu ummiliki wewe kirahisi tu, na kwa sababu zako binafsi! Bila shaka na yeye utapenda hapo baadaye afuate nyendo zako!!

Hapana aisee!
 
Yani tukupe mimba bure bure.
wacha masikhara wewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…