Nahitaji ushauri wa haraka sana maana nahisi Nachanganyikiwa sasa

Wanaume wenzio walio karibu walisalitiwa na wake zao itakuwa ww?? Fimbo ya mbali haiui nyoka. Hata ukimuacha ukimchukua mwingine km hukurekebisha tatizo ni kazi bure.!
 
Pole sana. Kama kweli ilikuwa ni ubakaji nendeni mkamfunguie kesi ya kubaka. Msamehe tu mkeo ilikuwa ni ngumu kuja kukwambia at once kuwa kabakwa, lakini kwa kuwa nyote mmeshafahamu, inabidi mumchukulie sheria huyo Jamaa wa Microfinance na mke kupima kama amepata maambukizi ya HIV.

Naomba unielekeze namna unavyofanya meditation na kupata ufumbuzi.
 
46 kijana
 
Fanya hima mke wa jamaa ajue huo uchafu n
Meditation ukuonyesha yaliyojificha sirini ishu ya solution utegemea na uamuzi wa mtu
 
Shetani havunji yenye faida naye.
Ukiona ndoa yako imetikiswa tambua shetani kaiona Kesho nzur ya watoto wako,uwavuruga ili mtengane awawini watoto.
Samehe kwa faid ya watoto kama ni hulka yake atarudia hulka na tabia ni vitu viwili tofauti but ufanana.
 
Hakikisha mke wa mwizi na wakwe wa mwizi wanajua pia wazazi wa mke wanajua uchafu huo kisha samehe.
Akirudia keep distance mwache arejee ujana wake,vuta chuma ingine
 
Wewe ndo tatizo, hela ya ujenzi unakopa ya nini..?
Ujenzi una haraka gani..?
Huyo Jamaa hakikisha unamfanya msukule, usiwaze mara mbili wala, ingia Pangani chap kwa haraka, akalimishwe nazi Tanga huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…