Naibu Waziri anapopata ajali then Viongozi wakuu wa Wizara na nchi Kwa ujumla wasitoe pole Kwa familia siyo afya. Kuna fumbo

Naibu Waziri anapopata ajali then Viongozi wakuu wa Wizara na nchi Kwa ujumla wasitoe pole Kwa familia siyo afya. Kuna fumbo

Viongozi wanapopata ajali tumezoea kuona viongozi wenzake kupitia akaunti zao binafsi za mitandao ya kijamii zikitoka pole Ila kwa huyu Naibu Waziri watu wamekaa kimya.

Sidhani kama inaleta afya, inaonyesha kama ametengwa.

Tujitahidi kuondoa double standard Kwa Sababu angekuwa anatoka miongoni mwa zile big eighty families lazima viongozi wote wangepost, Ila Kwa Sababu kapenya kutokea Kwa mkulima kuja kuwa Naibu waziri no one cares.

Tunayo mifano mingi ya ajali za viongozi na namna zilivyoripotiwa ila hii hapana. Tuweke usawa hata Kwa unafiki. hata tovuti ya wizara imedelay Sana ikiwemo Bunge.

Zaidi, soma: Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange, apata ajali ya gari
Labda kwakuwa pengine alitoka kudanga
 
Hata mgambo wakifanya uchunguzi jibu ni lile lile, waziri kaliabisha Taifa kwa ufuska, kifo na hasara ya mali ya serikali!
Uzuri hakutumwa na Serikali na hivyo basi Serikali haihusiki. Ufuska wake ni faraga yake, Serikali haina mamlaka huko.
Taifa linaaibika kivipi kwa Ufuska au Faraga Yakhee?

Ingekuwa vifo au hasara ni dhambi, labda. Mie naona tunaishutumu na kutuhum Serikali pasipo na Uhalisia wa mambo.

Hakika, kama mengine ni kweli-mchepuko+ kafurumushwa n.k aibu ni kwake na fedheha kwa Familia zote karibia nne pamoja na madhara ya kifo kwa moja. Ni Usongo kwake NW.
 
Angekuwa kapata ajali kwenye mazingira ya kikazi au ya kawaida yasiyogubikwa na kashfa hizo pole zingetolewa tu na TV zote zingerusha. Kutoa pole au kutangaza ishu iliyogubikwa na kashfa unakuwa humsaidii huyo mtu zaidi ya kufanya hiyo kashfa yake ijulikane kila kona ya dunia.
Kwanini taarifa ya huyu mtu ilifichwa sana, hakuna hata TV channel ilitangaza. Hii serikali imeoza. Wananchi siyo wajinga jambo liko wazi waziri alifanya kitendo cha aibu sana bado viongozi wakubwa km waziri mkuu na makamu wa rais wanashiriki huu upuuzi, kwa maslahi ya nani?

Na yule demu aliyekuwa naye utakuta hata nduguze wametishwa wasijitokeze na pengine wameshahongwa. Gari iliyotumika ni ya serikali ndiyo maana wakaondoa plate namba haraka, lakini wamesahau njia ya muongo ni fupi wamesahau kuweka plate namba feki ambayo namba zake tunaambiwa na RPC wa Dodoma lakini haionekana kwenye gari, gari haina plate namba.
 
Nyepesi mshikaji alikuwa katoka kwenye mizagamuo na nke wa mtu, if proved hii ni kashfa kubwa ya mwaka na ni doa kubwa kwa serikali yetu.

Kwa sisi ambao wake zetu wapo Dodoma kikazi na sisi tumebakia Dar na watoto aisee tuna mawazo mengi sana juu ya usalama wa ndoa zetu hizi..🙁
Mimi imeshavunjika tayari tunalea watoto tu.
 
Ameliabisha taiga, amemuabisha raisi, ameiabisha familia yake,ametuaibisha wanaume wote, asingekimbia hayo yasingetokea na pengine tusingejua, halafu wenzake wanapandaga ndege na michepuko, pili imemuharibia ndoto zake za baadaye hawezi kuja kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya hapo
Fact
 
Nyepesi mshikaji alikuwa katoka kwenye mizagamuo na nke wa mtu, if proved hii ni kashfa kubwa ya mwaka na ni doa kubwa kwa serikali yetu.

Kwa sisi ambao wake zetu wapo Dodoma kikazi na sisi tumebakia Dar na watoto aisee tuna mawazo mengi sana juu ya usalama wa ndoa zetu hizi..🙁
Usimalize maneno ......
 
Alikuwa ziara ya kikazi kukagua miradi ya Wananchi?
Mfano :
Kigwangala alikua na ziara ya kiserikali mbugani.
Yeye alikuwa anatoka kukagua mradi upi? Kikao kipi?
Kukagua mbususu, idara ya ustawi wa jamii japo yeye alichagua idara ya kuharibu jamii
 
Viongozi wanapopata ajali tumezoea kuona viongozi wenzake kupitia akaunti zao binafsi za mitandao ya kijamii zikitoka pole Ila kwa huyu Naibu Waziri watu wamekaa kimya.

Sidhani kama inaleta afya, inaonyesha kama ametengwa.

Tujitahidi kuondoa double standard Kwa Sababu angekuwa anatoka miongoni mwa zile big eighty families lazima viongozi wote wangepost, Ila Kwa Sababu kapenya kutokea Kwa mkulima kuja kuwa Naibu waziri no one cares.

Tunayo mifano mingi ya ajali za viongozi na namna zilivyoripotiwa ila hii hapana. Tuweke usawa hata Kwa unafiki. hata tovuti ya wizara imedelay Sana ikiwemo Bunge.

Zaidi, soma: Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange, apata ajali ya gari
Amepoteza uhai wa hawara akiwa anakimbia fumanizi la mkewe akiwa na gari ya Serikali. Unaanzaje kumpa salamu za pole Kiserikali?
 
Uzuri hakutumwa na Serikali na hivyo basi Serikali haihusiki. Ufuska wake ni faraga yake, Serikali haina mamlaka huko.
Taifa linaaibika kivipi kwa Ufuska au Faraga Yakhee?

Ingekuwa vifo au hasara ni dhambi, labda. Mie naona tunaishutumu na kutuhum Serikali pasipo na Uhalisia wa mambo.

Hakika, kama mengine ni kweli-mchepuko+ kafurumushwa n.k aibu ni kwake na fedheha kwa Familia zote karibia nne pamoja na madhara ya kifo kwa moja. Ni Usongo kwake NW.
Serikali si mtu, ni majumuiko ya mimi na wewe.
Bila watu hakuna serikali,
Walioteuliwa kutuongoza ni dhamana tu inayopaswa kutumika vizuri.
Ukiitumia dhamana hiyo kwa ufuska na kutumia rasilmali za serikali, wananchi NI LAZIMA WAILAUMU SERIKALI YAO.
 
Serikali si mtu, ni majumuiko ya mimi na wewe.
Bila watu hakuna serikali,
Walioteuliwa kutuongoza ni dhamana tu inayopaswa kutumika vizuri.
Ukiitumia dhamana hiyo kwa ufuska na kutumia rasilmali za serikali, wananchi NI LAZIMA WAILAUMU SERIKALI YAO.
Basi ni Muhimu tukaamini kuwa Ajali iliyotokea ilikuwa ajali kama ajali nyingine yeyote, ni ajali.
Taarifa hizi zimesha kanushwa na vyombo vya Ulinzi waliochunguza ajali hiyo. Gari wanadai lilikuwa la N.W. Yaani gari lake Binafsi. Na, hakuna aliyekufa katika ajali hiyo. Isitoshe, kitu ambacho hawakukisema ni huo ufuska, ikiwa ina maana huko sio eneo lao la kujikita kiuchunguzi.
Kwa lugha nyingine, Polisi wanasema kuwa hakuna Mwanamke aliyekufa katika ajali hiyo, wanasema kuna uzushi na upotoshaji kuhusu suala hilo....sasa mpaka iwe;Taarifa za Kifo ni kweli na Gari iliyokuwa ikiendeshwa na N.W ni ya Serikali...ni kweli..na labda tena iwe alikuwa akifanya Kazi za kiserikali ni kweli au la-binafsi, sioni kwanini niilaumu Serikali.

Niseme, sababu kubwa yangu kutokuwa na imani ya taarifa hizi na kuona kuwa kuna chembe za hila ya upotishaji na uzushi ni pale mmoja wa waleta mada/waanzishaji wa Uzi mmoja, aliandika habari za uzushi siku moja kabla ya kuleta Taarifa hizi hapa J.F[sio mleta wa mada hii na sio Uzi huu] na baada ya kuona uwasilishaji wake ndipo niliona kuna uwezekano kwa chembe, kuwa uzi huo/taarifa hiyo ilikuwa ni ya Kizushi.

Uzi huu au mada iliyopo juu -imedai, kuna Fumbo....sasa fumbo hilo, kwa maoni yangu ni Umakini. Wamekuwa makini katika suala zima.
 
Alikuwa ziara ya kikazi kukagua miradi ya Wananchi?
Mfano :
Kigwangala alikua na ziara ya kiserikali mbugani.
Yeye alikuwa anatoka kukagua mradi upi? Kikao kipi?
Alikuwa kwenye ziara ya kukagua mbunye!!
 
Hivi huoni hata aibu kuandika hii thread? Hakutakiwa hata kutembelewa na makamu wa rais, yule ni mtovu wa maadili. Ameshaharibu gari ya serikali kwa ufuska wake, halafu serikali itoe pole. Rais alitakiwa ameshateua naibu mwingine na kumpuuza huko hospitalini apambane na hali yake. Baba wa Taifa ktk moja ya hotuba zake alituambia kiongozi wa serikali hatakiwi kuwa na maadili ya kutiliwa shaka yoyote. Alitoa mfano wa Uingereza kuwa kulikuwa na waziri moja mdogo alionekana akitembea na kimwana mjini London, wananchi walipopiga kelele yule waziri aliandika barua ya kujiuzulu na waziri mkuu wa Uingereza wa wakati ule hata hakumjibu aliteua mtu mwingine kuwa waziri alimpuuza tu. Sasa hawa wa kwetu eti makamu wa rais anaeenda kumpa pole hospitalini.

Nimemdharau sana huu makamu wa rais anaongea kwa sauti wa unyenyekevu kumbe unafki tu, ni km mapadre wa kanisa katoliki wanaongeaga kwa sauti fulani ya unyenyekevu sasa nenda kafuatilie matendo yao mitaani, ni washenzi, na usisahau naye ni mkatoliki. Ngoja tuone akipona km ataendelea na nafasi yake ndio tutajua hii ni serikali ya manguruwe tu haina maadili yoyoye na wananchi wataidharau sana.
Kwa hiyo kama binaadamu tu hakufaa kutembelewa?!!!!

Mathalani kwa kuwa mimi ni mfungwa basi sistahili kufanyiwa UBINAADAMU?!!!

#SiempreJMT[emoji120]
 
Alikuwa ziara ya kikazi kukagua miradi ya Wananchi?
Mfano :
Kigwangala alikua na ziara ya kiserikali mbugani.
Yeye alikuwa anatoka kukagua mradi upi? Kikao kipi?
Si tunaambiwa alitoka kukagua mbususu
 
Kwa hiyo waliokosea hawapaswi kujuliwa hali pia?
Au unataka kumaanisha kwamba kwa vile makamu wa Rais kaenda kumjulia hali, ndo basi tena hawezi kuwajibishwa kwa ufuska wake aliofanya?
Mi nadhani nchi yetu ni moja kati ya nchi zenye mifumo bora kabisa duniani.
Hivyo, kikubwa wafanye uchunguzi, ikibainika kama kweli alikuwa kwenye mambo yake ya kibinafsi kwa kutumia gari la serikali, basi awajibishwe.
Hata VP alikosea, niliona sio sawa, VP kufanya hivyo ni kualalisha alichofanya.
 
Back
Top Bottom