Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Cariha kwa fikra zako uko sahihi....Heri Hilo tukio wangepiga tu kimya kimya kuliko hyo kwenda kimya kimya Sasa inaonyesha ana support uvunjifu wa maadili Sasa hapo funzo watu si wataona it's okay kufanya madudu maana bado nitapata support, pia serikali imefanya cover up ya uongo so Ina support matendo ya uvunjifu maadili
Ila unadhani mh.Makamu Wa Rais amekwenda kumjulia hali akiwa na fikra zilizoishia hizo ulizotuandikia hapo juu tu?!!!
Peace[emoji106]