Ujinga wako isikufanye utukane watu...wewe ulisema nchini kwenu haijawahi tokea kuwa na Naibu Waziri Mkuu...mm nimekwambia hapa kwetu imewahi kitokea! Sasa maji ya kijani yanatoka wapi we mtoto...kama unapenda kushiriki kwenye midahalo ya kiasiasa ,uwe unajieleimisha kidogo Historia na Siasa ..usikurupuke!Umekunywa maji ya kijani unatapika tu sasa!