Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

Umekunywa maji ya kijani unatapika tu sasa!
Ujinga wako isikufanye utukane watu...wewe ulisema nchini kwenu haijawahi tokea kuwa na Naibu Waziri Mkuu...mm nimekwambia hapa kwetu imewahi kitokea! Sasa maji ya kijani yanatoka wapi we mtoto...kama unapenda kushiriki kwenye midahalo ya kiasiasa ,uwe unajieleimisha kidogo Historia na Siasa ..usikurupuke!
 
Ni kwanini hizi teuzi zinanipita TU? Mhe. Rais na wote wanaohusika na teuzi, Mimi nipo pia😀😀
 
Rais Magufuli ni mzima na anachapa kazi? Mnataka atoke aende wapi? Magomeni au Kariakoo? - Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa JMT akiwa Njombe, 12 March 2021
 
Nimechelewa kuliona jina la kipara baada ya kusikia Nishati kakamata mtu mwingine, nikafurahi nikijua yule jamaa tuliyeambiwa na baba yake tumshukuru kwa msaada wa umeme anaotupa kapumzishwa, loh! mara nona kapelekwa ugenini, nikachoka kabisa.
 
We jua tu kuwa stelingi ishafeli na breki zishafeli tuangalie tu gari litatua sehemu salama au ndio hivyo tena
 
Jamani hili Taifa letu tunaendaje? Vyeo vinakuwa vingi Sana. Ina maana ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa kubwa sana mpaka utendaji unakuwa Mdogo na kuamua kuiongeza nguvu kumpa msaidizi vipi? Vipi wizara zilizo chini yake?

Ningependa kujua majukumu ya Naibu Waziri Mkuu yatakuwa yapi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri na Muungano wa Tanzania.

Pia soma - "Naibu Waziri Mkuu" ni Cheo Nyeti Sana, huwa hakitolewi ovyo ovyo
Mama alieleza Majuzi kasimu anasumbuka sana kupita kila pahala kurekebisha maana kila mahala panakuwa pabovu watendaji wanakwiba wanalala hawafanyi wako bize na miradi yao, kazi mpaka wasukumwe tabu kweli, na ndio sababu ya kupewa msaidizi, THATS SO GOOD!
 
Jamani hili Taifa letu tunaendaje? Vyeo vinakuwa vingi Sana. Ina maana ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa kubwa sana mpaka utendaji unakuwa Mdogo na kuamua kuiongeza nguvu kumpa msaidizi vipi? Vipi wizara zilizo chini yake?

Ningependa kujua majukumu ya Naibu Waziri Mkuu yatakuwa yapi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri na Muungano wa Tanzania.

Pia soma - "Naibu Waziri Mkuu" ni Cheo Nyeti Sana, huwa hakitolewi ovyo ovyo
Huenda Waziri Mkuu anakabiliwa na safari nyingi za kwenda Tandahimba hivyo anahitaji msaidizi.
 
Jamani hili Taifa letu tunaendaje? Vyeo vinakuwa vingi Sana. Ina maana ofisi ya Waziri Mkuu imekuwa kubwa sana mpaka utendaji unakuwa Mdogo na kuamua kuiongeza nguvu kumpa msaidizi vipi? Vipi wizara zilizo chini yake?

Ningependa kujua majukumu ya Naibu Waziri Mkuu yatakuwa yapi kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri na Muungano wa Tanzania.

Pia soma - "Naibu Waziri Mkuu" ni Cheo Nyeti Sana, huwa hakitolewi ovyo ovyo
Inapaswa kifurahi sana kwa sababu nafasi za ajira zikiwa finyu basi mzunguko wa pesa unakuwa mdogo pia by multiplier effects. Kama office ya waziri mkuu ilikuwa ikitengewa let say bil 3 inbidi ziongezeke ziwe let say bil 10 ikiweno ofisi ya naibu waziri mkuu. Hivyo pesa itazunguka na kukufikia wewe kwa njia mbalimbali.

Ki uchumi inakubalika sana kucreate ajira ili kuvhocjea mzunguko wa pesa. Jpm ambaye alikuwa ignorant wa masuala ya uchumi alikuwa anfuta kabisa hata ajira zilizopo eti anabana matumizi ya pesa ambapo eventually inasababisha collapse ya uchumi au uchumi kusomama na kwa kweli tulikuwa tunaelekea huko ndo mana biashara nyingi zilikuwa zinafunga daily.

Someni uchumi muondoe huo ujinga wenu siyo kuandika kila kitu.
 
Back
Top Bottom