Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Hii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.

Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
 
Alishindwa ubunge kura za maoni dhidi ya Murtaza Mangungo huko Kilwa Kaskazini...... CC ya chama ikamkata Murtaza ikampa hiyo aliyepata kura chache mno.

Leo ameshindwa kuapa....amezoea vya kupewa basi asiape awe tu waziri
 
Alishindwa ubunge kura za maoni dhidi ya Murtaza Mangungo huko Kilwa Kaskazini...... CC ya chama ikamkata Murtaza ikampa hiyo aliyepata kura chache mnoo....
Leo ameshindwa kuapa....amezoea vya kupewa basi asiape awe tu waziri
Kumbe!
 
I gree with you, confidence is more important than education. Nafuatilia ha matangazo mubashara.. Kiukweli huyu bwana katia aibu, ety kajitetea macho yanamsumbua ina maana hajui kuwa anatatizo la macho akajisave na mawani..
Kuna mama mmoja ye anaongelea ulimini yeye kila mda "Anasema balaza la mpinduzi badala la mawaziri" katia aibu sana mpaka mawaziri wenzie wamemcheka..

Tujifunze kujiamini jamani.. Kijiamini kunaleta Uhuru wa maisha
 
Kama mutaweza kutuwekea clip itakuwa bora kwa sisi wengine. Maana hatukuona na sijui kama watarudia kuonesha.
 
Alishindwa ubunge kura za maoni dhidi ya Murtaza Mangungo huko Kilwa Kaskazini...... CC ya chama ikamkata Murtaza ikampa hiyo aliyepata kura chache mnoo....
Leo ameshindwa kuapa....amezoea vya kupewa basi asiape awe tu waziri
Kama ni hivyo ipo shughuli pevu
 
Leo kuna comedy nyingi sanaa
Kuna savage mmoja kaapa biblia kashika chini
 
Kibarua kimeota nyasi.
 
Ndio mkuu huyo mama mzanzibari alirudia mara tatu. Uoga, uoga, uoga!
 
Kwani kampeni alifanyia porini?
Alikuwa haongei na wapiga Kura wa jimboni kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…