Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

I gree with you, confidence is more important than education. Nafuatilia ha matangazo mubashara.. Kiukweli huyu bwana katia haibu, ety kajitetea macho yanamsumbua ina maana hajui kuwa anatatizo LA macho akajisave na mawani..
Kuna mama mmoja ye anaongelea ulimini yeye kila mda "Anasema balaza la mpinduzi badala la mawaziri" katia haibu sana mpaka mawaziri wenzie wamemcheka..

Tujifunze kujiamini jamani.. Kijiamini kunaleta Uhuru wa maisha
Wewe mbona umeandika haibu badala ya aibu
 
Hamnaga rehearsal ya kuapishwa? Fimbo mashuleni zinafanya tuwe watu wazima tusiojiamini. Muda wote unakuwa muogamuoga tu.
Asante sana. Hii athari ya fimbo hata ukiimba namna gani watanzania hawatakuelewa hata kidogo. Fimbo zinaathiri sana watu ukubwani ni vile watu hawajui tu. Siyo kutojiamini tu ila kuna athari nyingine nyingi tu.
 
Huyo atakuwa alipatwa na WENGE au Alipagawa au Aliashikwa na KITETE kikamuondolea confidence!! Swala la kutoona ni uongo mtupu! Maana maneno ni yale yale hata usiposoma utayakariri "MImi Francis NGUMALU naapa kwamba nitakuwa mtiifu kwa jamhuri ya muungano wa tanzania na sitotoa siri za baraza la mawaziri ehee mwwnyezi mungu nisaidie" hapo inahitaji kusoma kweli???
 
Aliwezaje kuomba kura jimboni kwake yule
Watanzania elimu yetu ni mbovu sana. Mtanzania ujanja wake uko kwenye kupiga gumzo mitaani na kubishana mambo ya low level. Mtu kama Kibajaji akisimama jukwaani huko vijijini anaweza kubwatuka maneno mengi tu ila kuongea kwenye watu wanaojielewa hawezi.
 
Hii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.
Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
Alishinda uchaguzi au Ni wale waliobebwa kuanzia kwa wajumbe Hadi ballot.
 
Hii imetokea leo ambapo naibu waziri Fransis Ndulano alishindwa kusoma vizuri hati ya kiapo akapewa nafasi ya kurudia bado akawa anakwamakwama hadi akaambiwa akakae kwenye kiti chake. Sijui ataapa siku yingine au ndio kibarua kimeota nyasi. Sasa sijui ni uoga au wamemroga.
Fundisho:
Tuwafundishe watoto wetu kujiamini pamoja na elimu walizo nazo confidence ni muhimu.
Kafutwa Kazi Tayari
 
Back
Top Bottom