Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

I gree with you, confidence is more important than education. Nafuatilia ha matangazo mubashara.. Kiukweli huyu bwana katia haibu, ety kajitetea macho yanamsumbua ina maana hajui kuwa anatatizo LA macho akajisave na mawani..
Kuna mama mmoja ye anaongelea ulimini yeye kila mda "Anasema balaza la mpinduzi badala la mawaziri" katia haibu sana mpaka mawaziri wenzie wamemcheka..

Tujifunze kujiamini jamani.. Kijiamini kunaleta Uhuru wa maisha
Tunajifunzaje sasa kujiamini?
 
So jamaa sio Waziri sababu hajaapa. Sio?
... haina shida; ataapishwa gereji baadaye; sio lazima mshuhudie akiapa; mtapewa tu taarifa kiapo chao kilishafanyika tena kwa ufanisi mkubwa.
 
Kusoma anajua ila kujiamini ana kitete
Au nadhani huwa anasoma kwa miwani alisahau, akawa haoni vzr. Sasa ataapishwa lini maana hawakumrudia tena.
 
Back
Top Bottom