Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Ashapigwa chini aisee. Inabidi wawe wanafanyiwa vetting Kali sana
 
DAH MAGUFULI BANA, JAMAA KAPIGWA CHINI AISEE, KISA AMESHINDWA KUAPA.
 
Hii sasa ni kali.

Awali Naibu waziri wa fedha ilibidi arudie kula kiapo zaidi ya mara 5 kwa sababu sehemu iliyoandikwa "Baraza la Mawaziri" yeye alitamka " Baraza la Mapinduzi"

Kali ya mwaka ni huyu Naibu waziri wa madini ambaye amekuwa akisoma kiapo huku akitetemeka na hivyo kuwekwa pembeni ili waapishwe wengine.

Sijajua manaibu waziri hawa wana mchecheto gani!

Maendeleo hayana vyama!
Amefutwa Kazi Tayari Kwenye Nafasi Iliyomshinda
 
Inanikumbusha Ile mitoto inayobebwa kuanzia nursery mpaka chuo. School bus, mitihani anaonyeshwa, chuo anapelekwa India. Essay anaandikiwa, thesis ananunua, mchumba anatafutiwa mtoto wa shosti wa mama'ke. Sasa mkabidhi ofisi............
 
Back
Top Bottom