Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Ameshatenguliwa tayari,waallah uchawi upo,hicho kipapai alichopigwa ni kiboko
Hiyo aibu najaribu kuvaa viatu vyake naona havienei kabisa.Ndugu jamaa na familia utawatizama vipi.
Huo uchawi kiboko
 
Kama mtu anakuwa muoga kwa watanzania wenzie, anashindwa kuapa (yaani kusoma Kama ilivyoandikwa tena kwa kiswahili). Je wakija wazungu ataweza kuongea nao

Hawa ndo wale wa ndiyoo kila kitu. Na ndo wengi wamejazana bungeni,,

Tusubiri tu hoja za wabunge wa kipindi hiki.

Mwenye Video yake please wengine hatujaangalia uapishaji!
 
Habari wakuu,

Leo nimeona kituko ambacho sio cha nchi hii, hadi mimi niliyekuwa naangalia nimeona aibu.

How comes mtu unashindwa kuaapa tena kwa Kiswahili, mbaya zaidi mtu kasoma ana Masters ya Science.

Hadi mheshimiwa Rais kasema hio degree yake ichunguzwe, huenda hata hivyo vyeti ni fake.

TAMISEMI angalien mfano wa Mh Rais, mnamuaibisha sana, yale majina hewa ya walimu mliyoyatoa nasema hivi, ipo siku tu mtakula matapishi yenu.

Nina imani kabisa TAMISEMI mkiambiwa mkalete wale watu mlioajiri na vyeti vyao orginal kuanzia secondary mpaka chuo kikuu, hawana wale watu.

Mh Rais pita TAMISEMI, narudia tena pita TAMISEMI kuna wahuni ambao hawajitambui wanaendesha hio taasisi, mpaka Watanzania wanaichukia nchi yao.
 
Back
Top Bottom