Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Mteru ni kitu kibaya sana, pole yake.
 
Huyo atakuwa alipatwa na WENGE au Alipagawa au Aliashikwa na KITETE kikamuondolea confidence!! Swala la kutoona ni uongo mtupu! Maana maneno ni yale yale hata usiposoma utayakariri "MImi Francis NGUMALU naapa kwamba nitakuwa mtiifu kwa jamhuri ya muungano wa tanzania na sitotoa siri za baraza la mawaziri ehee mwwnyezi mungu nisaidie" hapo inahitaji kusoma kweli???
CC yako ipo juu!😀😀
 
Jambo dogo lakini limeanzishiwa nyuzi kibao! Hii inaasiria kuwa watu wengi (nchini) wana misongo ya mawazo, kikitokea kitu kidogo tu wanapata fursa ya kutapika
 
Kuna mtu ana PHD lakini alishindwa kutamka "Entrepreneurship"akaishia kusingizia eti si lazima msomi kujua Kiingereza. Sa mbona huyu kashindwa kuapa kutokana na wasiwasi anafukuzwa? Uonevu tu![emoji15][emoji15][emoji15]
 
Alishindwa ubunge kura za maoni dhidi ya Murtaza Mangungo huko Kilwa Kaskazini...... CC ya chama ikamkata Murtaza ikampa hiyo aliyepata kura chache mnoo....
Leo ameshindwa kuapa....amezoea vya kupewa basi asiape awe tu waziri
Duuh hiyo ni changamoto nyingine
 
Back
Top Bottom