4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 8,406
- 9,619
Mazingira uliyoyataja hayashabian,na mazingira ya leo , kaangalia auto nyeusi kibao,anakaziwa macho Kama amechukua Cha mtu,kule cdf, Mara iGp , na wengine kibao mabega yamechafuka, na hua anawasikia leo live, kusogea mbele jpm anamwangalia using,hata hapeleki macho pembeni, mbaya zaidi pale alipoambiwa kuludia, ndo wamempandisha mzuka,hakuna uchawi, nimeisha kutana nao Sana Kama Hawa,Dunia duara ukifikiri Sana utalia kila Mara, mheshimiwa Ndulane amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10, amekuwa mkurugenzi wa mji wa ifakara, amekuwa Kiongozi wa mpira Lindi na Morogoro, amekuwa mjumbe wa TFF ktk kamati ya fedha na uongozi na amesafiri na Taifa Stars zaidi ya Mara 4,leo ameshindwa kuapa kurasa moja,hii ndiyo Dunia,tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kumhukumu
Mtu anawambia Yani KWA mwanamke napiga story Sana ila nikifika mbele ya watu kigugumizi zaidi ya bubu, ila tu kwa waliochini yake story sana