Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Dunia duara ukifikiri Sana utalia kila Mara, mheshimiwa Ndulane amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10, amekuwa mkurugenzi wa mji wa ifakara, amekuwa Kiongozi wa mpira Lindi na Morogoro, amekuwa mjumbe wa TFF ktk kamati ya fedha na uongozi na amesafiri na Taifa Stars zaidi ya Mara 4,leo ameshindwa kuapa kurasa moja,hii ndiyo Dunia,tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kumhukumu
Mazingira uliyoyataja hayashabian,na mazingira ya leo , kaangalia auto nyeusi kibao,anakaziwa macho Kama amechukua Cha mtu,kule cdf, Mara iGp , na wengine kibao mabega yamechafuka, na hua anawasikia leo live, kusogea mbele jpm anamwangalia using,hata hapeleki macho pembeni, mbaya zaidi pale alipoambiwa kuludia, ndo wamempandisha mzuka,hakuna uchawi, nimeisha kutana nao Sana Kama Hawa,
Mtu anawambia Yani KWA mwanamke napiga story Sana ila nikifika mbele ya watu kigugumizi zaidi ya bubu, ila tu kwa waliochini yake story sana
 
Hana tofauti na yule aliyekuw waziri aliyesema akiwa nchini Afrika Kusini kuwa Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe, hata hivyo amerudi tena bungeni!
 
Hata mimi nimeumia
Wangempa muda[emoji29]
Yeye alikuwa anaenda kupewa ajira ya pili..wewe una ajira kwanza?
Kama unayo Ajira yako inafikia ajira yake ya kwanza?


Sawa najua aliyenacho huongezewa lakini ni ajabu ukikuta masikini kusikitika MO kupata Hasara ya million5 wakati ana mabillioni benki
 
Yeye alikuwa anaenda kupewa ajira ya pili..wewe una ajira kwanza?
Kama unayo Ajira yako inafikia ajira yake ya kwanza?


Sawa najua aliyenacho huongezewa lakini ni ajabu ukikuta masikini kusikitika MO kupata Hasara ya million5 wakati ana mabillioni benki
Kwahiyo kama huna ajira au una ajira ambayo haifikii ajira yake ni marufuku kusikitika??
Kama wewe hujaumia basi ni wewe,usitake kila mmoja awe hivyo.
Acha shobo mkuu[emoji57]
 
Hivi viapo huwa hawapewi kabla? Ili wafanye "liheso"! Sijaona kama kimnyang'anya nafasi yake ilikuwa uamuzi bora bila kwanza kujua sababu. Siamini kama alishindwa "kusoma" kiapo kwa sababu hajui kusoma.
 
Huenda alikuwa tayari ashapata deal kadhaa za 10% hvyo alkuwa na hamu Sana apate kiapo Mambo yaanze kutiririka saa zingine na mipombe pia huchangia.

Sihukumu Bali nawaza tuu
 
Yule jamaa kashindwa kusoma, ni kama alikuwa amekariri hivi, sasa alipopewa nafasi ya kusoma akashindwa.

Okay, let assume ilikuwa ni woga tu.
Sasa kwanini Rais atilie mashaka elimu yake kiasi cha kuona kuna ulazima kuchunguza vyeti vyake?

Kwani kabla ya kuteuliwa hakuchunguzwa?
Kwenye nafasi kama hizi Rais hata kiwi kuteua bila kukutana na kuongeza na huyo mteule. Hilo ni kosa kubwa. Rais anatakiwa kuteua watu wenye uwezo Siyo kwa aili ya CV zao.

Hata hivyo CV ya huyo bwana hako vizuri kihivyo. Inaonyesha ni jinsi gani ambayo bado hatuko serious kama taifa. Huyo Jamaa hastahili hata kuwepo hapo alipo sasa.
 
Nigekuwa ni mimi ningeapa ile ya kitaa, napitisha kidole shingoni nasema "hakyamungu" au huko sio kuapa?
 
Mazingira uliyoyataja hayashabian,na mazingira ya leo , kaangalia auto nyeusi kibao,anakaziwa macho Kama amechukua Cha mtu,kule cdf, Mara iGp , na wengine kibao mabega yamechafuka, na hua anawasikia leo live, kusogea mbele jpm anamwangalia using,hata hapeleki macho pembeni, mbaya zaidi pale alipoambiwa kuludia, ndo wamempandisha mzuka,hakuna uchawi, nimeisha kutana nao Sana Kama Hawa,
Mtu anawambia Yani KWA mwanamke napiga story Sana ila nikifika mbele ya watu kigugumizi zaidi ya bubu, ila tu kwa waliochini yake story sana
Huna hoja. Katika walipitwa kuapa 23, alikuwa anaangaliwa yeye pekee yake? Kuna watu reasoning zenu zinatia mashaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia duara ukifikiri Sana utalia kila Mara, mheshimiwa Ndulane amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10, amekuwa mkurugenzi wa mji wa ifakara, amekuwa Kiongozi wa mpira Lindi na Morogoro, amekuwa mjumbe wa TFF ktk kamati ya fedha na uongozi na amesafiri na Taifa Stars zaidi ya Mara 4,leo ameshindwa kuapa kurasa moja,hii ndiyo Dunia,tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kumhukumu
Sina haja ya kumjua mtu aliyeshindwa kusema "hakyamungu"
 
Dunia duara ukifikiri Sana utalia kila Mara, mheshimiwa Ndulane amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10, amekuwa mkurugenzi wa mji wa ifakara, amekuwa Kiongozi wa mpira Lindi na Morogoro, amekuwa mjumbe wa TFF ktk kamati ya fedha na uongozi na amesafiri na Taifa Stars zaidi ya Mara 4,leo ameshindwa kuapa kurasa moja,hii ndiyo Dunia,tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kumhukumu
Kuwa na mambo yote sio sababu , amini nakwambia wapo wengi sana ndani ya serikali wenye hali kama yake.

Nilikwenda wilaya ya mvomero nimekutana na mhasibu ambaye nilisomanae lkni hakufaluu na yupo pale wilayani bro nchi ni connection tu
 
Dunia duara ukifikiri Sana utalia kila Mara, mheshimiwa Ndulane amekuwa mhasibu Tanroads zaidi ya miaka 10, amekuwa mkurugenzi wa mji wa ifakara, amekuwa Kiongozi wa mpira Lindi na Morogoro, amekuwa mjumbe wa TFF ktk kamati ya fedha na uongozi na amesafiri na Taifa Stars zaidi ya Mara 4,leo ameshindwa kuapa kurasa moja,hii ndiyo Dunia,tunatakiwa kutafakari kwa kina kabla ya kumhukumu
Ni kihiyo tu huyo hakuna cha kumtetea kihiyo
 
Mimi siamini kama hajui kusoma vizuri.
Dunia ina mengi,tumuombe Mungu atuongoze.

Kama nafasi ni yake naamini ataipata tu,hiyo roho ya kukataliwa iliyomvaa iishie mbali.

Btw nimeumia Sana kwa ajili yake.
Muombee wewe tu itatosha
 
Back
Top Bottom