Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Kule kwao ndipo moshi wa Ruangwa ulimzimisha magufuli siku 3 hoi kuna watu hawakulizika na uteuzi wake kule jimboni kwake wanandai pesa zao za kufanikisha uchakachuaji hajawalipa
Umeanza pumba zako za kipuuzi.
 
Huna hoja. Katika walipitwa kuapa 23, alikuwa anaangaliwa yeye pekee yake? Kuna watu reasoning zenu zinatia mashaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo unataka kutuaminisha uchawi, hujua kua Kuna ugonjwa wa kuwa muoga, elewa wapo watu kufanya presentation lazima KWANZA anywe dawa na trigers za tatizo Kama hili zipo nyingi na mazingila tofauti,
 
Kuna kitu hapo hakiko sawa kwenye uteuzi wake, hofu yake inatokana na siri alizonazo mwenyewe! Inawezekana kuwa hakutarajia kupata uteuzi, lakini alikuwa na muda wa kujiandaa angalau kukariri kiapo alichotakiwa kuapa.

Kuwa ni msomi mzuri, hilo nalipinga kwani kuna kundi kubwa tu la watu wenye Degree zenye rakiri za dahahabu huko Serikalini, lakini wanasafiria nyota za watendaji wa chini yao, wakati wao wenye mamlaka hamna kitu.

Kuna baadhi ya Wizara ukizitembelea na kubahatika kupata mawili matatu na watendaji wakuu, unagundua kabisa kuwa watu wanalipwa mshahara wasioustahili. Hii ifike mwisho sasa ili nafasi zijazwe na wanaostahili iwe kwa elimu, uzoefu, uwezo, umahiri, uwajibikaji na unyenyekevu n.k.
 
Kiapo cha ubunge si aliapa jamani vizuri au ilikuaje? Ila kama ndio tatizo lake basi tutaendelea kuliona bungeni.
 
Mbona iko wazi aliyemteua na aliyeshinda kula kiapo wote sawa . Hongera sana Dona kantri ya Jiwe .
 
Kiapo cha ubunge si aliapa jamani vizuri au ilikuaje? Ila kama ndio tatizo lake basi tutaendelea kuliona bungeni.
Hili zengwe, kapigwa kipapai, hukuona yule mgombea udiwani wa posta alikiwa anashindwa kutamka maneno yake, mapka akasema hii uchawi.
 
Back
Top Bottom