Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Sawa tumeopokea uzi tayr


Sasa mkuu tetema ile angepiga vitu ingekuwa balaa na nusu


Ujue mzigo wa K'vant ili-ukupe confidence inatakiwa muhusika uwe comfortable..
Comfortability unaipata ukishapiga shot mbil za kwanza.yaan mwepes..weng hyo wanatumia.hata wnaamuzik..sasa wao ndo huwa wnaaharib.wanatumia cocain au bang...sasa..bangi ndo yenyew yaan hulew ila unachangamka..na ndomana watu wanaotumia bang ni weng kuliko unavyofkiria na ni watu wazito kabisa ambao huwez wazania
 
Ulozi tu
 
Boss wao ni mungu mtu wao ndo maana wanamuogopa sana akisimama mbele yao imebaki kumuabudu tu
 
Yaani huyo jamaa amechemsha hadi akaambiwa akaketi!

Hivi vyeo vingine vya "kupewa" ndiyo matatizo yake
Mtu hajawahi hata kukaimu ukuu wa idara, ghafra bin vuu unampa cheo ambacho hakutarajia. Uzoefu ni muhimu hata ukiwa msomi. Si aibu kwa mshindwa kuapa tu, hata kwa mteuzi.
 
Sikuhizi viongozi wa dini ndio wabeba tunguli kwenye mazindiko, unategemea upako wa roho wa kweli utoke wapi?
 
Leaders are born not made. Kuna utofauti mkubwa sana kati ya kiongozi na mwanasiasa.

Viongozi halisi waliozaliwa kuongoza wapo wametulia wanafanya mambo yao mengine, wengi tunaowaita Viongozi ni wanasiasa tu.

Seminars za uongozi hazikufanyi kuwa kiongozi kama hukuzaliwa kuwa kiongozi.

Viongozi ni wachache sana na wanaelewa mipaka yao kuepusha kutumia uwezo wao vibaya.

Hata kwenye matahasisi huko maofisini kwenu, yupo mkurugenzi ambaye unaona kabisa huyu hii nafasi haimfai kabisa maana hana sifa za kuwa kiongozi ila ni vyeti tu.




Sent from my E2333 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…