Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,728
- 4,817
[emoji134][emoji134][emoji134]Zaidi ya 50% ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi, bali walitangazwa tu washindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji134][emoji134][emoji134]Zaidi ya 50% ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi, bali walitangazwa tu washindi.
Mkuu bado tu unaongelea uchaguzi, achilia maisha ya endelee utapata ugonjwa wa kideri kwa mawazoZaidi ya 50% ya wabunge wa ccm hawakushinda uchaguzi, bali walitangazwa tu washindi.
Wallah, jamaa kapigwa mzizi kashindwa kuona mandishiUchawi tuu ndio umemfanya kashindwa kuapa nothing else
Wekeni picha jamani tuwaone hawa wabunge mataga wa ccm ambao tumeambiwa wanenda kuipaisha tanzania, tatizo sio lake huyo aliyeshindwa kuapa bali tatizo ni aliyemteua.Naibu waziri aliyeshindwa kuapa ameambiwa nafasi yake atachaguliwa mtu mwingine na yy atabaki kuwa mbunge tu.
Ukute mtu kama huyu kapenya hadi kuwa mkurugenzi wa shirika halafu umkosoe utaona shughuli yakeNchi hii inaendeshwa kihuni sana na watu wengi wa namna hii ni vile tu huyu baharia mwenzetu kateleza eneo. Aibu sana.
Hata maraisi wengine wa nchi nyingine wapo hawajui kiingeeeza bali lugha zao, wanaenda na wakalimani.Watu huwa wanamshangaa jiwe akiogopa kwenda ulaya, ni kwamba anajua fika akiongea na wazungu atachemsha.
Kuapa tuu wasiwasi c ndio atauza nchi kwa woga msomi lazima ajiamin bhana!Kuna mtu ana PHD lakini alishindwa kutamka "Entrepreneurship"akaishia kusingizia eti si lazima msomi kujua Kiingereza. Sa mbona huyu kashindwa kuapa kutokana na wasiwasi anafukuzwa? Uonevu tu![emoji15][emoji15][emoji15]
Labda kuna jambo hatulijui limemfanya awe hivi katika kuapa.Chuoni alipresent vipi research yake ya masters?
Sio Jambo dogo kama unavyodhani,ukitaka kuamni soma vichwa vya habari magazetini kesho.Jambo dogo lakini limeanzishiwa nyuzi kibao! Hii inaasiria kuwa watu wengi (nchini) wana misongo ya mawazo, kikitokea kitu kidogo tu wanapata fursa ya kutapika
Watu wanapo sema jamaa huteua watu kwa majina nila kumchunguza sasa muamini.Habari wakuu
Leo nimeona kituko ambacho sio cha nchi hii ,hadi mimi niliekuwa naangalia nimeona aibu
How comes,mtu unashindwa kuaapa tena kwa kiswahili ,mbaya zaidi mtu kasoma ana master's ya science
Hadi mheshimiwa raisi kasema hio degree yake ichunguzwe, huenda hata hivyo vyeti ni fake
TAMISEMI angalien mfano wa mh raisi, mnamwaibisha sana, yale majina hewa ya walimu mliyoyatoa nasema hivi ipo siku tu mtakula matapishi yenu.
Ninaiman kabisa tamisemi mkiambiwa mkalete Wale watu mlioajiri na vyeti vyao orginal kuanzia secondary mpaka chuo kikuu, hawana Wale watu
Mh raisi pita tamisemi, narudia tena pita tamisemi kuna wahuni ambao hawajitambui wanaendesha hio taasisi, mpaka watanzania wanaichukia nchi yao.
Uzi tayar
Saidi Bagaile effect hiyo,chezea kipapai wewe!Najaribu kuvaa viatu vyake vinanipwaya, sote ni binadamu hatujui kipi kitatukuta dakika moja mbele. Ila kitendo cha kutetemeka na kushindwa kula kiapo ni suala ambalo halikutakiwa kuchukuliwa haraka mpaka kumtumbua mhusika. Naona kabisa kama vile kuna Mtu amekurupuka.
#We're the world.
Kwani kuna habari gani huku kipenzi😘Karogwa sio bure
Dhuluma mbayaaibu Sana umeenda na mke kuapishwa uwe waziri halafu kiapo una fail
Jamani acheni mizaha! Kapigwa chini kweli au ni speculations?Yaani bila kuremba