Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Mnaambiwa vuteni bangi hamtaki.

Angesokota na kupuliza moja angeapa bila kuchechemea!

Kuna miamba kule chuo walikuwa hawaendi presentation bila kusokota na kupuliza kwa kuhofia mambo kama haya.

Bangi umeshindwa basi hata K-Vant?
Hahaha! Unamkumbuka Kitwanga?
 
Kuna mtu kaandika hivi....



Francis Ndulane alikuwa Mhasibu Mkuu wa Tanroads Mkoa Lindi,Magufuli alipo ingia Madarakani kama Rais akamteua kuwa Mkurugenzi wa Mji Ifakara,mwaka huu kagombea ubunge Kawa nafasi ya Tatu nyuma ya Ahmed Raphael Bongi aliyekuwa ameongoza kura za maoni ambaye ni Mhasibu Mkuu wa Mkoa wa Lindi,wakati wa Kampeni mambo yalikuwa magumu sana kule kwa Bwege ikibidi Bongi aombwe kumpigia kampeni,lakini kiukweli watu wa Kilwa Kusini hawakuwa na Huyu Ndulane.Nini kimetokea mimi na wewe hatujui ila watu wa Kusini si watu wema,kumbuka hata yule dada aligombea ubunge viti maalumu aliyeishia kusema Viba vijana viva naye ni wa Lindi,that is all
 
Nashangaa aliweza kuapa mbele ya ndugai ubunge vipi kashindwa hapo ndio ujue uchawi upo
 
Tatizo la watu wenye akili finyu huwa wanalaum tu, yaani umesahau kabisa kua kuna mambo ya kisaikolojia yanayoweza kua yamesababisha haya kutokea
Saikolojia gani?
Kama alifanyia kampeni ,hakuwahi kukutaba na mafuliko ya wananchi jimboni kwake?

Ukiona KOBE yuko juu ya mti,ujue kapandishwa
 
Back
Top Bottom