kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Usiongee vitu kiushabiki jamaa ni msomi mzuri tu na ana Master ya Accounting & Finance kutoka Mzumbe University. Alikuwa mkurugenzi Ifakara.Haya ndo madhara ya kutokuwepo mchujo wa kupata wabunge,watu wamepita bila kupingwa hawajapitishwa hata kwenye moto ilitupate watu pure for public tasks.
Labda kapigwa kipapai tu.