Naibu Waziri wa Afya amuondolea madaraka Mkuu wa Idara Paul Koroso, aliyemjibu “Sijali lolote hata nikifukuzwa kazi”

Kwenye miradi ya serikali usipokula na wanasiasa tegemea hujuma na majungu. Ila wazalendo na wataalamu wenye misimamo huwa hawafiki mbali.
Uzalendo kwa kununua toilet paper holder kwa laki 5?? Tuache utani
 
Huyu jamaa sura yake ilivyokaa kaa tu anaonekana na disorder flan sijui unaibu waziri kaupataje
Hili jamaa nalifahamu tangu A level Minaki halikuwa na ushirikiano na watu na lilikuwa lichafu balaa na limeaoma likiwa lizee tu
 

Upumbavu mtupu
Kwa sheria ipi ana nguvu hiyo?
 
Ifike wakati sasa wanataaluma wajitambue kama alivyo Eng Paul Korosso

Wanasiasa wakishalambaga asali wanakuwaga wajinga sana, tusiwavumilie tuwape za uso

Dr Mollel hata kung'oa mtu jino hawezi japo ndio fani yake
Kong'oa mtu jino unadhani ni kazi nyepesi.
 
Kuna ubabe gani kwenye majibu? Huyu naibu waziri kilaza anaamrisha mtu awekwe ndani kwa kosa gani? Jaribu kutumia akili hata kidogo.

Kwani Korosso angesema tu kwa taaluma yangu au hesabu nilizo nazi ninhivi na hivi bila kuongeza "hata ukinifukuza kazi" angepungukiwa na nini?

Wakati mwingine ni hekima tu ndio tunakosa.

Waziri amekosea ila pia Korosso amekosea. Kutakiwa kujieleza haimaanishi ndio umeshahukumiwa. Ange handle tu professional
 
Kuna ubabe gani kwenye majibu? Huyu naibu waziri kilaza anaamrisha mtu awekwe ndani kwa kosa gani? Jaribu kutumia akili hata kidogo.
Wewe ungeanza kutumia akili zako tu ungeona tatizo la huyo Koroso
 
Kama unajua mawaziri wanasimamia Sera, mamlaka za Makatibu wakuu kutekeleza Sera zinatokea wapi? Ukisoma hiyo taarifa ya Mwananchi imesema Wazir ameagiza Katibu Mkuu atekeleze jambo kwa maslahi aliyoyataja hapo, maana yake kuna mgogoro ambao umepelekea kusuasua kwa kazi.
Miongoni mwa vitu watendaji wanatakiwa kufanya ni kuepuka migogoro kwa kuwashirikisha wananchi hasa kwenye matumizi ya fedha na sio kwenye utaalamu.
Issue ya Korosso sio utaalamu ila ni matumizi ya fedha tu. Yeye na engineer wa mkoa wanatofautiana pakubwa mno wakat wote ni wataalamu. Kinidhamu alitakiwa kuomba kukaa na mwenzake waweke sawa ila sio kujipiga kifua kuwa yeye ndio yuko sahihi na sio mwingine yule.
 
Unless kuna taarifa hazijaandikwa lakini ukisoma hiyo habari nashindwa kuelewa kilichomfanya Koroso kuingiza hayo maneno "sijali hata ukinifukuza kazi" katika maelezo yake. Kama issue ilikuwa kujadili tofauti ya figure ambayo ingeokolewa kati yake na Engineer wa Mkoa yeye angestick kwenye maelezo yake ya kitaaluma tu. Sijaelewa ya kufukuzana kazi yaliingiaje pale.
 
Hili jambo siyo la kushabikia

Governance nzuri haishabikii haya

Serikali yetu ina namna nzuri sana ya kudeal na hizi issues

Actually hiyo situation could have been avoided kirahisi sana
 
Huyo muhandisi kamjibu vizuri huyo boya ...Anajiita Mollel
 
Huyu jamaa sura yake ilivyokaa kaa tu anaonekana na disorder flan sijui unaibu waziri kaupataje
UCHAWI upo.

Mollel naibu Waziri Afya.

Halafu Ndugulile anatumbuliwa kila akiwekwa.
 
Milion 260 na milion 600 zimemfanya Koroso kupangiwa kazi nyingine.
 
Kuna watu humu Wana matatizo ya akili. Mm napingana na serikali kwenye vitu vingi, lakini unawezaje kupinga Jambo Kama hili? Toilet paper holder kwa laki 5?? Alafu huyo mhandisi bado anajibu jeuri
Mnatuchanganya. Ubishi ulikuwa kuhusu tofauti ya fedha ambazo zingeokolewa kwa kutumia Force Account kati ya Koroso na Engineer wa Mkoa; au ulikuwa ni kuhusu bei ya toilet paper holder?
 
Engineer kaonewaa, yeye sio mtu wa Evaluation yeye anasimamia kazi tuu suala la rate sio lake,
Inashangaza kuanza kumlaumu Mhandisi tena wakati mkandarasi kashaanza kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…