Pre GE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk aandika barua ya kujiuzulu Ubunge

Pre GE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk aandika barua ya kujiuzulu Ubunge

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1000027693.jpg
 
Ningekuwa Rais ningefanya haya!
Ningeunda Baraza dogo ambalo almost robo tatu ya Mawaziri ni big brains niliowatoa nje ya Bunge kwenye sekta zao.

Pili ningeanzisha mchakato wa katiba mpya haraka.


Tanzania tunahitaji hayo. Big brains lwenye nafasi za juu za maamuzi na Katiba Mpya ambayo ni bora.

Mengine yote ni siasa uchwara tu!
Big Brain ni akina nani hao? Tutajie watatu?
 
Kwa sababu Mzee Mbarouk ni TISS , na aliwekwa hapo kufatilia hatua za Jamaa wa Bumbuli.

Kazi kaimaliza, anavyosema "Changamoto Binafsi " .... Ni kwamba anarejea Nyumbani kwenye majukumu yake ya zamani.


Hahitaji Nafasi nyingine Kwa sababu hizo nafasi nyingine haziondoi Changamoto zake.



Nadhani Kuna Mabadiliko ya Baraza la mawaziri.


Mimi bado nataman kuona


BASHE MSOMALI ,ATUPILIWA MBALI.

NAPE BICHWA EMPTY , ANATEMWA.

MAKAMBA KIPARA , ANAFYEKELEWA MBALI.
Ubarikiwe.

Bila kusahau Madelu, saiz anarekebisha na kukanusha Kila taarifa kana kwamba amenusa harufu Fulani mbaya kumhusu.
 
Mbunge wa kuteuliwa na Rais na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amemuandikia Spika wa Bunge la Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Tulia Ackson barua ya kujiuzulu Ubunge leo Jumapili tarehe 21 Julai, 2024.

View attachment 3048086
Zamu ya wazenji kulamba asali
Huenda Kuna mavyeo yapo bara wameandaliwa wazenji
 
Big Brain ni akina nani hao? Tutajie watatu?
Kwa Bungeni mle hawazidi 5

Kwa haraka tunao
1. Dr. Charles Kimei
2. Deo Mwanyika
3. Prof Sospeter Muhongo
4. Prof. Kitila Mkumbo
5. Prof Adolf Mkenda

Nje ya Bunge tunao wengi sana na wengi hawapo hata kwenye siasa

Kwa nafasi ya Gavana Benki Kuu
Yupo anayefaa zaidi naye ni Ruth Zaipuna(NMB).

Kwa Katibu Mkuu Kiongozi
Angefaa sana Prof Sifuni Mchome.( Sijui yupo wapi siku hizi)

Kwenye Baraza la Mawaziri
1. Prof Kennedy Gastorn
2. Prof. Assad( Ingawa huyu ana mkwamo wa kikatiba kutoruhusiwa kushika nafasi yeyote ya uteuzi kutokana na kushika cheo cha CAG huko nyuma)
3. Ally Gugu
4. Rished Bade
5. Nehemia Mchechu
6. David Kafulila
7. Tundu Lissu (Huyu angefaa sana kutokana na ujuzi wake wa Sheria kama Waziri wa Katiba na Sheria)

Hawa ni wachache tu ila nchi yetu ina watu wengi wazuri wengi sana na wengine wapo Taasisi za Kimataifa na Makampuni makubwa na wanafanya sana vizuri sana.
 
Kwa Bungeni mle hawazidi 5

Kwa haraka tunao
1. Dr. Charles Kimei
2. Deo Mwanyika
3. Prof Sospeter Muhongo
4. Prof. Kitila Mkumbo
5. Prof Adolf Mkenda

Nje ya Bunge tunao wengi sana na wengi hawapo hata kwenye siasa

Kwa nafasi ya Gavana Benki Kuu
Yupo anayefaa zaidi naye ni Ruth Zaipuna(NMB).

Kwa Katibu Mkuu Kiongozi
Angefaa sana Prof Sifuni Mchome.( Sijui yupo wapi siku hizi)

Kwenye Baraza la Mawaziri
1. Prof Kennedy Gastorn
2. Prof. Assad( Ingawa huyu ana mkwamo wa kikatiba kutoruhusiwa kushika nafasi yeyote ya uteuzi kutokana na kushika cheo cha CAG huko nyuma)
3. Ally Gugu
4. Rished Bade
5. Nehemia Mchechu
6. David Kafulila
7. Tundu Lissu (Huyu angefaa sana kutokana na ujuzi wake wa Sheria kama Waziri wa Katiba na Sheria)

Hawa ni wachache tu ila nchi yetu ina watu wengi wazuri wengi sana na wengine wapo Taasisi za Kimataifa na Makampuni makubwa na wanafanya sana vizuri sana.
Hapo umepatia Wawili! Charles Kimei na Mwanyika! Hao akina Kitila,Muhongo na Mkenda hawana lolote theory nyingi sana! Tena Mkumbo hovyo!
 
mtu akiwa tiss mnamuona kama anafanya kazi mbinguni yaani malaika
Sijui hii dhana alitujengea nani! Yaani wamejengewa picha fulani kama kazi ya maana kuliko zote! We kazi gani ni kutii, kila kitu kutii!

You must obey direct order from superior hata kama kilaza! Kazi gani isiyokuwa na uhuru! Ni mwendo wa kujificha!
 
Back
Top Bottom