BILGERT
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 6,534
- 11,011
We ulipanda tar ngap mkuu,Kwa walio lima mwishoni alizeti ikiwa bado ndogo inaathirika mkuu
Lakini kama wakati mvua inakata alizeti ilikua imekua itaenda fresh tu athari kidogo sana
Ila mvua ikirudi mapema ikamwaga maji ya kutosha itapona