Naishauri Yanga na wachezaji kususia siku itakayopangwa na TFF kutoa tuzo za masharti

Naishauri Yanga na wachezaji kususia siku itakayopangwa na TFF kutoa tuzo za masharti

Tate Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2019
Posts
33,092
Reaction score
96,127
Ndugu zangu wa Yanga kama nilivyoandika kwenye kichwa changu cha habari. Siku itakayopangwa na hao wahuni kwa lengo la kutoa hizo tuzo zao, msihudhurie. Maana itakuwa haileti mantiki.

Mkifanya hivyo, litakuwa ni funzo kubwa kwao. Ila mkihudhuria, basi mtambue fika hawataacha kuendelea kuwafanyia vitendo vyao vya kihuni kwa lengo la kuwahujumu na pia kuwakatisha tamaa.
 
Ndo wanachotaka washindi halali wasipate hizo tuzo.
Wanataka wampe fei MVP Sasa wameona kama wakitoa muda huu itazua mijadala.

Hizo tuzo Zina kubebana utashangaa ili kubalance mamba Jobe nae anapewa tuzo
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Shukrani kwa ufafanuzi wako. Kuhusu paragraph ya mwisho, Taarifa za Yanga kuwa na watu wawili tu wenye akili zilitoka kwa msemaji wa makolo ambaye hakuwa na hadhi wala cheo chochote ndani ya Yanga hivyo taarifa zake zilipuuzwa kwa kuwa hakuwa na mamlaka yoyote kuisemea Yanga. Taarifa za makolo wote ni mbumbumbu zilitolewa rasmi na mwenyekiti wa klabu ya makolo katika mkutano mkuu rasmi wa chama mbele ya waandishi wa habari.
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Kwa hiyo kwa upande wako unaona ni sahihi kwa hizo tuzo kutolewa mwanzoni mwa mwa msimu ujao!!
 
Shukrani kwa ufafanuzi wako. Kuhusu paragraph ya mwisho, Taarifa za Yanga kuwa na watu wawili tu wenye akili zilitoka kwa msemaji wa makolo ambaye hakuwa na hadhi wala cheo chochote ndani ya Yanga hivyo taarifa zake zilipuuzwa kwa kuwa hakuwa na mamlaka yoyote kuisemea Yanga. Taarifa za makolo wote ni mbumbumbu zilitolewa rasmi na mwenyekiti wa klabu ya makolo katika mkutano mkuu rasmi wa chama mbele ya waandishi wa habari.
Na kwa taarifa tu. Zile taarifa za wawili tu hazijawahi kukanwa popote pale na utopolo wenyewe kuanzia waliotajwa kuwa na akili, viongozi wa utopolo wala mashabiki. Ndio mana hata bungeni mtu akitoa taarifa ambayo ina ukakasi au utata watu wanaomba mwongozo au kutoa taarifa ya kupinga. Ukiona kimya sisi tulio upande wenye akili wengi tunakuwa tushaelewa kinachoendelea.
 
Shukrani kwa ufafanuzi wako. Kuhusu paragraph ya mwisho, Taarifa za Yanga kuwa na watu wawili tu wenye akili zilitoka kwa msemaji wa makolo ambaye hakuwa na hadhi wala cheo chochote ndani ya Yanga hivyo taarifa zake zilipuuzwa kwa kuwa hakuwa na mamlaka yoyote kuisemea Yanga. Taarifa za makolo wote ni mbumbumbu zilitolewa rasmi na mwenyekiti wa klabu ya makolo katika mkutano mkuu rasmi wa chama mbele ya waandishi wa habari.
Hoja nzuri sana hii!! 😇
 
Na kwa taarifa tu. Zile taarifa za wawili tu hazijawahi kukanwa popote pale na utopolo wenyewe kuanzia waliotajwa kuwa na akili, viongozi wa utopolo wala mashabiki. Ndio mana hata bungeni mtu akitoa taarifa ambayo ina ukakasi au utata watu wanaomba mwongozo au kutoa taarifa ya kupinga. Ukiona kimya sisi tulio upande wenye akili wengi tunakuwa tushaelewa kinachoendelea.
Yaani hoja itolewe na msemaji wa mbumbumbu fc, halafu watu wenye akili timamu ndiyo wakane!! Na siyo kuipuuza!!
 
Yaani hoja itolewe na msemaji wa mbumbumbu fc, halafu watu wenye akili timamu ndiyo wakane!! Na siyo kuipuuza!!
Mbona huyo mbumbumbu alipowaambia mnacheza kombe la luza mlimbishia? Mbona huyo mbumbumbu alioamua kuhamia upande wenu mlimkaribisha.? wHY? kWA SABABU ALIWAZIDI AKILI
 
Ndugu zangu wa Yanga kama nilivyoandika kwenye kichwa changu cha habari. Siku itakayopangwa na hao wahuni kwa lengo la kutoa hizo tuzo zao, msihudhurie. Maana itakuwa haileti mantiki.

Mkifanya hivyo, litakuwa ni funzo kubwa kwao. Ila mkihudhuria, basi mtambue fika hawataacha kuendelea kuwafanyia vitendo vyao vya kihuni kwa lengo la kuwahujumu na pia kuwakatisha tamaa.
Mnasusa tena na ubingwa mmebeba ?
 
Mbona huyo mbumbumbu alipowaambia mnacheza kombe la luza mlimbishia? Mbona huyo mbumbumbu alioamua kuhamia upande wenu mlimkaribisha.? wHY? kWA SABABU ALIWAZIDI AKILI
Sheikh, una uhakika tulimkaribisha!
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Cha kati
 
Na kwa taarifa tu. Zile taarifa za wawili tu hazijawahi kukanwa popote pale na utopolo wenyewe kuanzia waliotajwa kuwa na akili, viongozi wa utopolo wala mashabiki. Ndio mana hata bungeni mtu akitoa taarifa ambayo ina ukakasi au utata watu wanaomba mwongozo au kutoa taarifa ya kupinga. Ukiona kimya sisi tulio upande wenye akili wengi tunakuwa tushaelewa kinachoendelea.
Mbumbumbu katika ubora wako
 
Na kwa taarifa tu. Zile taarifa za wawili tu hazijawahi kukanwa popote pale na utopolo wenyewe kuanzia waliotajwa kuwa na akili, viongozi wa utopolo wala mashabiki. Ndio mana hata bungeni mtu akitoa taarifa ambayo ina ukakasi au utata watu wanaomba mwongozo au kutoa taarifa ya kupinga. Ukiona kimya sisi tulio upande wenye akili wengi tunakuwa tushaelewa kinachoendelea.
Huo ni utaratibu wa bunge. Huku mtaani si kila hoja huwa inajibiwa. Cha muhimu kinachoangaliwa hoja imetoka kwa nani. Aliyetoa hoja hakuwa na wadhifa wowote ndani ya Yanga hivyo alipuuzwa. Je kwa upande wa Simba waliwahi kukana taarifa za mwenyekiti alizozitoa kwenye mkutano mkuu wa wanachama kuhusu umbumbumbu wenu?
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Kanuni zinasemaje kuhusu tuzo? walitaka muda kiasi gani kujiandaa wakati ligi inapo anza inajulikana mwisho kuna tuzo? kuhusu Pacome nipe ufafanuzi alicheza vipi mechi za CAF bila kukidhi vigezo?
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Hatujakataa je wamezishirikisha administration za club zote juu ya ratiba hio au wemekaa tu na kuamua kutoa ratba.
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Wewe na zile bolizozo zilizojazana pale TFF hamna tofauti. Akili zenu visoda au kuna uwezekano na wewe mnufaika pale ndio maana unatetea utopolo wenu.

Tuzo zingeweza kufanyika siku ya J5 siku ya kesho yake baada ya mechi za kumaliza msimu kumalizika. Hapo unapata wachezaji wote unaotaka wasaidie ku promote ligi yako. Ila kwakua wana mlengo wao basi ngoja tuwaache na akili visoda vyenu
 
Back
Top Bottom