Naishauri Yanga na wachezaji kususia siku itakayopangwa na TFF kutoa tuzo za masharti

Naishauri Yanga na wachezaji kususia siku itakayopangwa na TFF kutoa tuzo za masharti

Hatujakataa je wamezishirikisha administration za club zote juu ya ratiba hio au wemekaa tu na kuamua kutoa ratba.
Hili jambo halina athari kubwa kwa vilabu kwa sababu wao ni waalikwa tuu sio waandaaji. Hawatoi hata kumi kwenye hili na hata kama kutakuwa na tiketi za ndege ni tff ndio watakaogaramia
 
Ila yanga mnatakiwa mpewe tuzo ya kulalamika yaani mmechukua ubingwa ila kila kitu mnalalamika na yule zungu pori kule insta amewakamata masikio.
 
Ndugu zangu wa Yanga kama nilivyoandika kwenye kichwa changu cha habari. Siku itakayopangwa na hao wahuni kwa lengo la kutoa hizo tuzo zao, msihudhurie. Maana itakuwa haileti mantiki.

Mkifanya hivyo, litakuwa ni funzo kubwa kwao. Ila mkihudhuria, basi mtambue fika hawataacha kuendelea kuwafanyia vitendo vyao vya kihuni kwa lengo la kuwahujumu na pia kuwakatisha tamaa.
Vyema kabisa.
 
Utopolo kila kitu wanalalamika, Yan kama mwanamke aliyekopwa uroda
 
Kanuni zinasemaje kuhusu tuzo? walitaka muda kiasi gani kujiandaa wakati ligi inapo anza inajulikana mwisho kuna tuzo? kuhusu Pacome nipe ufafanuzi alicheza vipi mechi za CAF bila kukidhi vigezo?
Kama kaninuni, basi hiyo ni Bodi ya ligi na sio TFF.....Bodi ya ligi ndio inakuwa na kanuni za kuongoza ligi na mambo mengine kama hayo ya kutangaza mchezaji bora ........
 
Kuna ligi ya under20 bado haijakamilikam mkuu. Tuzo sio za Aziz tuu
Mbona kuna mahali nimesoma Kagera Sugar ameshatawazwa kuwa bingwa wa hiyo Ligi msimu huu!!

Na hata kama ingekuwa bado kukamilika, ndiyo tuzo zitolewe kwenye msimu mpya wa Ligi, huku tukiwa na wachezaji wengi wenye mikataba ya miaka miwili!!
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Kalia Dole la Karia
 
Na kwa taarifa tu. Zile taarifa za wawili tu hazijawahi kukanwa popote pale na utopolo wenyewe kuanzia waliotajwa kuwa na akili, viongozi wa utopolo wala mashabiki. Ndio mana hata bungeni mtu akitoa taarifa ambayo ina ukakasi au utata watu wanaomba mwongozo au kutoa taarifa ya kupinga. Ukiona kimya sisi tulio upande wenye akili wengi tunakuwa tushaelewa kinachoendelea.
Aliyesema kuwa Yanga wenye akili ni wawili tu alikuwa mbumbumbu , hivi wewe mbumbumbu ulitaka sisi watu wenye akili tuje na hoja ya kupinga nini kilichotolewa na mbumbumbu.
Siku zote mbumbumbu hawezi kuelewa na nyani haoni kundule endeleeni kuliona kundu la nyani mwenzenu enzi hizo.
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
wewe utakuwa karai, sio bure.
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Hoja zako tatu umeeleza vizuri kama mwanamichezo, nilipofika namba 4 na 5 nimekuona kumbe ni mpuuzi kabisa na mbumbumbu always mbumbumbu.

Pacome acheze mashindano ya CAF halafu TFF ndio asiwe halali?

Stupidity.
 
Wabongo bhana. Umejaribu hata kufatilia kwa nini TFF wamesogeza mbele usiku wa tuzo? Wala hakuna cha ajabu kwenye hilo ni swala la TFF tu kujitafuta ili kuziboresha. Mbona hamshangai CAF mashindano yanaisha mwezi wa sita au saba ila tuzo zinatolewa December au January? TFF wanahoja zifuatazao
1. Tuzo za TFF sio kwa ajili ya ligi kuu bara pekee yake, TFF inasimamia mashindano mengine mengi lakini ikiwemo timu ya taifa. Kwa sasa TFF imetafuta muda mzuri ambapo wataziunganisha tuzo na mashindano mengine kama vile ligi ya wanawake, under20 nk. Lakini kwa sasa kalenda ya CAF na FIFA wachezaji wa timu za taifa wapo kwenye timu zao na hata hao utopolo na azam soon wakicheza finali Zenji wanaondoka kwenda kwa timu zao za taifa. Kwahiyo timing mnayoitaka nyie haitaweza kufanya kazi. Kuweni na subira.

2. Utoaji wa tuzo ndio target angle ya TFF kujitafutia udhamini bora na mnono na ikiwemo kujitangaza ili wapate udhamini so inabidi waje na kitu bora bila kulipualipua. Hapa naamnisha ili sherehe zifane inabidi wachezaji muhimu wote wawemo kwenye kupokea tuzo zao. Hii inamaanisha TFF na wachezaji pamoja na timu zipate muda wa kutosha kujiandaa kushiriki kwenye tuzo hizo hata kama watakuwa katika timu nyingine. Kumbukeni msimu uliopita Mayele ambaye alikuwa ni muhimu kwenye zile tuzo hakuwepo sababu tu alikuwa kwenye majukumu ya timu yake ya taifa.

3. Hao CAF na FIFA wanapitisha hata miezi mitatu mpaka kuja kutoa tuzo unajua kwanini? Wanataka wapate muda wa kujiandaa vizuri ili waje na kitu bora, na huwa tunaenjoy kweli kweli kufatilia hayo ma ballondor au mchezaji bora wa Africa, sasa wazee wa zima moto hatutaki kujifunza kwao, tunaendeshwa na mihemko.

4. Huyo Karia mnayemuona hawapendi utopolo ndio amewasamehee hao utopolo makosa yao mengi ya kuvunja kanuni ili tu kuisaidia utopolo ijipate maana ingekuwa aibu Simba kuchukua kombe mara nane mfululizo. Juzi tuu amepotezea uwapokonya point12 kwa kumchezesha pacome ambaya hakustahili.

5. Uto wenye akili muongezeke ongezeke basi mfike walau hata watano. Huyo injinia ni swala muda tuu ataanza kuwashika nyeti.
Na huyohuyo Karia na tff yake wanaesema anawahujumu ndiye huyohuyo alitaka gsm adhamini ligi kuu ya NBC kabla ya Barbra kuutegua huo mtego.

Na huyohuyo Karia na tff yake ndiye karuhusu gsm kudhamini vilabu takribani 5 kwenye ligi Moja kwa manufaa ya utopolo.
 
Shida sio kulalamika shida ni kwamba mkishinda ubingwa mnalalamika mkikosa pia mnalalamika ndio tatizo linapoanzia hapo
Binafsi natamani kuona ufanisi kwenye uendeshaji wa michezo. Na siyo ubabaishaji.
 
Back
Top Bottom