Naitabiria Yanga mafanikio zaidi ya Simba msimu wa 2023-2024

Hapo mwishoni ndio umeharibu kwamba yanga wana timu ya kawaida msimu huu? Au umetumia tafsida kuwasilisha hoja? Timu ya kawaida inapataje mafanikio? Na kama ni ivyo timu nyingine za kawaida zinashindwaje kuyapata ayo mafanikio? Kukiri ubora wa mwenzako sio dhambi wewe kubari tu ya kwamba yanga wanacho kikosi bora kuizidi simba ndo ukweli wala ahiitaji kuzungukazunguka, timu zote tumeziona uwanjani bwana, licha ya ivyo yanga wamesajili kiufundi na sio kimihemko wamewapiga simba gape kubwa sana kiufundi, Angalia ata maandalizi yenu ya pre season ni ya kuungaunga, wenzenu wakati wako Avic town wanapiga maandalizi ya kufa mtu nyie mko angani kwenye safari ya uturuki, na wengine mara dar wengine mara brazil utawezaje kushindana na mtu aliyejiimarisha kwa 100% kila idara?
 
Kati ya Mashabiki wa Simba Wenye hoja nzito huwa ni wewe. Sijawahi kuacha kukuunga mkono kwenye hoja zako. Simba ya Sasa ina umbo la mnyama Simba dume kabisa kama jina lake. Mbele mpana nyuma mkondefu.
 
Mna timu ya kawaida, hata nyie mnajua hilo ila mnaogopa kuonyesha hisia zenu mnadhani upande wa pili utatumia hilo kuwatania.

Pia Yanga nao hawajafanya preseason ya muda wa kutosha saaana kuizidi Simba. Wote ni wale wale tu.
 
Mna timu ya kawaida, hata nyie mnajua hilo ila mnaogopa kuonyesha hisia zenu mnadhani upande wa pili utatumia hilo kuwatania.

Pia Yanga nao hawajafanya preseason ya muda wa kutosha saaana kuizidi Simba. Wote ni wale wale tu.
Timu ya kawaida halafu inachukua vikombe vyote vya ndani! Inafika hatua ya fainali kombe la shirikisho Afrika!
Halafu unasema Yanga haijafanya pre season ya kutosha kuizidi simba!! Hivi hii kauli ina uhalisia kweli!!
 
Wewe Ni Utopolo, na hatutarajii kuiombea Simba mema!

Vitu vingine havihitaji akili kung'amua.

Ujinga
 
Umekaza fuvu mmmh

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Wewe Ni Utopolo, na hatutarajii kuiombea Simba mema!

Vitu vingine havihitaji akili kung'amua.

Ujinga

MPIRA haupo hivyo

Yeye AMETOA hoja zake na wewe mjini kwa Hoja.

Ukisema yeye UTOPOLO Au Ndunduka ni Majibu ya kitoto, hayafai kuwepo hapa Jamii Forum kwenye Great thinkers.

Hoja HUJIBUWA KWA HOJA.
 
Timu ya kawaida halafu inachukua vikombe vyote vya ndani! Inafika hatua ya fainali kombe la shirikisho Afrika!
Halafu unasema Yanga haijafanya pre season ya kutosha kuizidi simba!! Hivi hii kauli ina uhalisia kweli!!
Mmevuruga kikosi na upepo ulikuwa upande wenu ila kikosi cha sasa ni cha kawaida saana.

Suala la muda wa kutosha wa preseason lilikuwa muhimu zaidi kwa Yanga kuliko Simba maana mna benchi jipya na mna maingizo mengi kwenye kikosi cha kwanza. Kina Diarra na Aucho wamejiunga lini na wenzao? Bado wachezaji wapya waliosajiliwa.
 
Aisee Yanga iko imara sana. Mchezaji wa maana aliyeondoka kwenye kikosi ni Fiston Mayele tu. Bangala na Juma Shaban, hawakuwa hata na msimu mzuri. Kisinda ndiyo kabisaaa!!

Na ukija kwenye benchi la ufundi; ukumbuke kocha Gamondi amefundisha soka katika vilabu vikubwa Barani Afrika! Hivyo hata CV yake ni kubwa kuliko ile ya Profesa Nabi!

Usajili wa Yanga msimu huu umegusa maeneo muhimu tu. Viongozi hawakusajili kwa mihemko kama viongozi wenu.
 
Kuna mchezaji wa Simba aliyeachwa ambaye unadhani angetakiwa kubaki?
 
Kuna mchezaji wa Simba aliyeachwa ambaye unadhani angetakiwa kubaki?
Benno Kakolanya hakutakiwa kuachwa! Hata Joash Onyango naye alikuwa ni msaada sana kwenye ligi ya ndani.

Kwa sasa mna mabeki wawili tu wa kati wa uhakika. Pembeni kushoto yuko Tshabalala peke yake!! Ukija upande wa Yanga, kila namba ina zaidi ya wachezaji wawili wa uhakika. Halafu tukichukua vikombe vyote mtalalamika kweli!!
 
Kwa hiyo kuachwa kwa wachezaji wawili ndiyo useme usajili wa mhemko, tena mmoja mlikuwa mnamsema sana kuwa ni mzee na hafai, leo hii unamlilia? Umemuona Malone? Halafu umecopy maneno yangu ila mimi niliyasema kwa angle tofauti.
 
Yanga tunabeba tena makombe 2024, wataanza kutuelewa ngao ya jamii.
 
MPIRA haupo hivyo

Yeye AMETOA hoja zake na wewe mjini kwa Hoja.

Ukisema yeye UTOPOLO Au Ndunduka ni Majibu ya kitoto, hayafai kuwepo hapa Jamii Forum kwenye Great thinkers.

Hoja HUJIBUWA KWA HOJA.
Ujinga kutoka kwa mjinga nao Ni hoja?

Wewe Ni mgeni humu. Utopolo wanajulikana siku zote.

Tutakaaa humu kujibu hoja za kijinga za kishabiki maandazi.

Na ww mjinga mmetumana wapuuzi nyie kila saaa Simba Simba , si mkajadili litimu lenu huko?

Kumbafu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…