fika hiyo robo ndiyo uongee, upo huku katika ligi ya klabu bingwa.[emoji1787].
Na ratiba ya kikatili, unaanza Belouzdad away, unarudi kwa Al Ahly, unaenda kwa Medeama kisha unarudiana na huyo huyo Medeama.
Mzunguko wa kwanza.
Ahly 3
Belouzdad 3
Yanga 0
Medeama 0.
Mzunguko wa pili Ahly atakuwa Dar, unakandwa
Ahly 6
Belouzdad 6
Yanga 0
Medeama 0
Mzunguko wa 3
Ahly 9
Belouzdad 6
Yanga 1
Medeama 1
Mzunguko wa 4
Ahly 12
Belouzdad 6
Yanga 4
Medeama 1
Mzunguko wa 5
Ahly 15
Belouzdad 9
Yanga 5
Medeama 1
Mzunguko wa mwisho
Ahly 16
Belouzdad 10
Yanga 6
Medeama 1
Kusha mtaita MWAKAROBO KWA HESHIMA NA NYIE KUBATIZWA MWAMAKUNDI.