Najivunia ushamba na ulimbukeni huu ulinipitia mbali

Ni kweli kabisa.
 
Pole sana unahitaji msaada wa kisaikolojia tena wa haraka sana ndugu kwasababu una tatizo la msongo wa mawazo ulio pitiliza na ukizembea kupata ushauri wa kisaikolojia utaishia kujitoa uhai wako.
 
Sio normal io hali uliyo nayo yani sio normal kabisa ni una matatizo ya akili mkuu apo inabidi upate matibabu ya kisaikolojia ili io trauma bond ikutoke kichwani na uanze kufurahia maisha halisi
 
Sio normal io hali uliyo nayo yani sio normal kabisa ni una matatizo ya akili mkuu apo inabidi upate matibabu ya kisaikolojia ili io trauma bond ikutoke kichwani na uanze kufurahia maisha halisi
What is trauma bond
 
Kuonesha onesha kila kitu au mafanikio ni moja ya mental illness...

1. Tunaenda shule ili tujifunze na mwisho wa siku tukipimwa kwa mitihani tufaulu tena tufaulu vyema. Sasa kama wajibu ni kufaulu, kwa nini unataka tujue umefaulu wakati hilo ndio lengo la mtahiniwa yeyote?

2. Tunanua gari/magari ili iturahisishie kwenye suala la uchukuzi badala ya kutegemea usafiri wa umma utumie usafiri wako binafsi. Umefanya uamuzi wa kutoka usafiri wa umma kwenda binafsi, unatujulisha sisi wengine ili iweje?
 
Na ata mtu ambaye hana furaha na maisha yake kiasi cha kushindwa kuyafurahia uyo lazima anaelekea kua kichaa kwasababu ya msongo wa mawazo na ukitaka kujua kuwa anaenda kua kichaa ndio kama hivyo yeye anajidai hataki ku Post lakini anaumia kuona wengine wana post sasa kama hapendi kupost kuna haja gani ya yeye kuongelea mada izo si akae kimya ili iwe serious kabisa yuko nje ya mitandao
 
Nipate chance ya kutoka kijijini huku nifike viwanja Kama Mapacha niwe nakula nyama nisijipost ?
Wanakijiji wataniheshimu kwa kipi Sasa ? Je watumishi wenzangu watajuaje Mimi kuwa mbali na kunywa Sana ulanzi sio kuwa sivijui viwanja vikali huku town ?

Kiukweli Mimi ndizo sababu za kujipiga picha na kupost daily nikiwa mjini ili niwaumize wanakijiji na wafanyakazi wenzangu ndiyo maana uwa nikirudi nawaonaga wanavyoniangalia kwa jicho la husda na wivu.

Wakiniangalia hivyo alafu muda huo nimetoka town nabadilisha na mwendo nakuwa natembea Kama nadunda Kama nimemaliza kila kitu ,hapo changanya mkononi nimeshika na mikate yangu miwili kutoka town awee uwa wanakoma πŸ˜€
 
Ila Mh. OKW SUNZU BOBAN umegraduate nini isije kuwa umeilamba ile CPA original.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…