Najuta kumtia umasikini Mama yangu

Wakati wa Mungu ni wakati sahihi,itafika siku Yako....halafu acha mawazo ya kutamani kufa kabla ya mama Yako,omba sana neema ya kumzika mama Yako kama Kweli unampenda...mama kuzika mtoto ni uchungu usioelezeka
 
Umeiweka vizuri mkuu! Anatakiwa kufanyia kazi mambo mengi sana.
 
Huwezi.jua,ukipata labda utakufa kifuani kwa Malaya,hebu jaribu kuanzisha kitu ukipendacho.
 
Kila kitu unachokiona dunia hii ni siri na ukiijua siri itakuweka huru.

Unataka kuendelea kuishi hayo maisha unayoishi sasa, itafute SIRI ya maisha yako.....
 
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi,itafika siku Yako....halafu acha mawazo ya kutamani kufa kabla ya mama Yako,omba sana neema ya kumzika mama Yako kama Kweli unampenda...mama kuzika mtoto ni uchungu usioelezeka
Shukrani sana. Japo nimebahatika kumletea wajukuu🤣🤣🤣 hivyo hata nikitangulia wajukuu zake SI wapo watareplace nafasi yangu...​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…