Najuta kuoa mwanamke kutoka Kanda ya Kaskazini

Wachaga wengi wale wa 40+ ni wajane ukifika rombo ndo utajua ninachomaanisha halafu hizi mambo ya kila mwisho wa mwaka kurudi kwao bila waume zao ni kuendeleza michepuko kama mimi kuna mmoja kaolewa ila kaenda kuhesabiwa ameniambia kabla ya kurudi tukutane nipewe tunda kimasihara kweli kabisa unaoa mchaga mi washikaji zangu wachaga hakuna hata mmoja aliyeoa mchaga.
 
Mtoa mada anaonekana Yuko ktk stress Kali Sana, msimdhihaki mpeni USHAUR wa kumjenga
 


Hakuna mwanamke anaweza kukuwekea sumu ufe mapema hivyo🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Wanaume mara nyingi hutangulia kufa...... Na wewe Kufa utakufa sawa, lakini unaacha kitu gani????

TuanΕΊie hapo kwanzaπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 

"Tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa"

Wewe mwenyewe ona hapo juu, ni kichaa
 
Chai[emoji2][emoji2]
 
Umeamua kudhalilisha kabila kwa story ya uongo. Hiyo ni police case umeripoti???
Mali gani uliyonayo mpaka dada wa kaskazini akuue wewe. Hakuna hizo tabia hata ukisikiliza news makabila mengine ndio wanauana rarely wa kaskazini. Tafuta hela uwe na akili.
 
wanawake wa kaskazini wengi wamelelewa ktk mifumo dume unahitaji akili na nguvu sana, Nadhani wewe ndo umeolewa hapo hao wanaitwaga mamanzi sio wale wa vijora vya rangi ya chuichui, siku hizi wasukuma wanawaoa sana wachagga kuna vitabia vinaendana.
Hili ni kweli mkuu
 

Hao Tuachieni Sisi Wababe wa World cup
 
Ukikutana na mchaga kabla ya ndoa uliza kwanza Ni mchagga wa wapi.
Kuna wale wazuri Sana wa sura, watam balaa lakini.......
Wamarangu tatizo lao Wana dharau Sana.
Ukioa Rombo wewe ujuwe una mke, Tena mke wa maana. Wachapa kazi, wavumilivu halafu hawana makuu. Wakibosho sitawasemea maana sijaoa huko.
 
Kwa akili hizi nashindwa kuelewa ilikuaje wakakuchelewesha kukuua..
 
Rubbish.
 
Mwanaume ukitaka mafanikio basi owa mchaga achana na hizi ngonjera.

Tena hata hadithi za wachaga wa machame ni wale wa zamani ndio wana kashfa ya kuuwa waume zao lakini hiki kizazi jipya kipo tofauti sana.

Msipende kuowa wanawake akili bongo lala.
 
Kuna vidume ni dhaifu sana wallah!! Wapo wanawake kama wewe ni dhaifu usijaribu hata kuwa boyfriend tu, utaumia. Wapo strong mentally, wana akili ya maisha...
 
Wamarangu hawana dharau, Bali wamekwenda shule, inferiority complex ndio inakufanya unaona wana dharau.

Umezoea kukutana na Warombo waliojaa majikoni kuchoma nyama.
 
Wamarangu hawana dharau, Bali wamekwenda shule, inferiority complex ndio inakufanya unaona wana dharau.

Umezoea kukutana na Warombo waliojaa majikoni kuchoma nyama.
Wadada wa marangu wanafahamika kwa nyodo, hilo mbona lipo wazi. Sisi tunalijua miaka mingi, hakuna wanawake wazuri wa sura na shape katika wachagga wote kama wamarangu
 
sina uhakika na mtoa mada kama stori ya kubumba hivi, ila mimi siwezi kuoa mikoa hiyo , zaidi zaidi ikitokea ntawazalisha tu , nina mifano mingi ya wanaume wa wakichaga walioa wanawake wa kichaga na kufa vifo vyenye maswali mengi sana na nina marafiki wengi wa kichaga wamegoma kuoa huko sijui shida nini, lakini kwenye familia yangu wapo wajomba na baba zangu wadogo walioa wanawake wa kaskazini waliopata shida na kupoteza kabisa heshima ya kuwa mwanaume, mimi what can i do nikikuta mchaga na kuzalisha tu , ila ndoa hapana ,ukipata mwanamke wa kikinga aliyetulia utafurahia maisha mama anapambana kuliko wewe baba
 
Wadada wa marangu wanafahamika kwa nyodo, hilo mbona lipo wazi. Sisi tunalijua miaka mingi, hakuna wanawake wazuri wa sura na shape katika wachagga wote kama wamarangu
Unaposema sisi unamaanisha ni wewe na nani?

Nawajuwa Wamarangu na naijuwa Marangu, Mwanamke yeyote ni wewe tu mwanaume approach yako.

Lakini kama Kabila lako lilipigana vita vya maji maji lazima Wamarangu watakudharau, Chief Marleare alikataa kutowa askari wake kwenda kupigana vita ile kwa kudanganya watu risasi inaweza kugeuka maji, ni makabila duni na ya wajinga ndio yalipigana vita vya majimaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…