Kaka achana na wamachame, mimi nimeishi moshi, wanaume wachaga wanaotoka maeneo mengine pele moshi wanaogopa hata kudate na mmachame, sio kuoa kudate tu wanaogopaMwanaume ukitaka mafanikio basi owa mchaga achana na hizi ngonjera.
Tena hata hadithi za wachaga wa machame ni wale wa zamani ndio wana kashfa ya kuuwa waume zao lakini hiki kizazi jipya kipo tofauti sana.
Msipende kuowa wanawake akili bongo lala.
Hayo ni mambo ya kihistoria, hata Wakurya walikuwa na sifa mbaya ya kupiga wanawake, wahaya umalaya n.k,Kaka achana na wamachame, mimi nimeishi moshi, wanaume wachaga wanaotoka maeneo mengine pele moshi wanaogopa hata kudate na mmachame, sio kuoa kudate tu wanaogopa
Kaka wewe inaelekea uchagani hujakaa, nakuhakikishia hakuna mchaga anayeishi Moshi na sio mmachame, anaoa mwanamke wa MachameHayo ni mambo ya kihistoria, hata Wakurya walikuwa na sifa mbaya ya kupiga wanawake, wahaya umalaya n.k,
Lakini hayo yamebaki kuwa mambo ya kihistoria tu.
Huyu Bwana anaoa kila siku, fuatilia nyuzi zake na anatoa mahali nonoπ"Tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa"
Wewe mwenyewe ona hapo juu, ni kichaa
Kwamba vijora vya rangi ya chui chui.....vimejaa sana mikoa ya kusini huku Lindi na mtwarawanawake wa kaskazini wengi wamelelewa ktk mifumo dume unahitaji akili na nguvu sana, Nadhani wewe ndo umeolewa hapo hao wanaitwaga mamanzi sio wale wa vijora vya rangi ya chuichui, siku hizi wasukuma wanawaoa sana wachagga kuna vitabia vinaendana.
Hilo nalifahamu kwa Moshi wamachame Mara nyingi wanaowana wenyewe kwa sababu tayari wana name calling wanawaita Wapalestina.Kaka wewe inaelekea uchagani hujakaa, nakuhakikishia hakuna mchaga anyeishi moshi na sio mmachame, anaoa mwanamke wa machame
Pole kaka.Sina haja ya kuwasilimia hata kidogo aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila?sio poa kabisa.
Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old moshi tukabadilisha contact,tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.
Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwene chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.
Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu π’ π πΏ π’ π
π’ π πΏ π’ π πΏ π’ π πΏ
Sawa π π πHakuna mwanamke anaweza kukuwekea sumu ufe mapema hivyoπ€£π€£π€£π€£π€£π€£
Wanaume mara nyingi hutangulia kufa...... Na wewe Kufa utakufa sawa, lakini unaacha kitu gani????
TuanΕΊie hapo kwanzaππππππ
Huyoooooo chizi maarifaUmeandika ka umeshikiliwa panga nahuyo mwanamke Pole sana
Unaposema sisi unamaanisha ni wewe na nani?
Nawajuwa Wamarangu na naijuwa Marangu, Mwanamke yeyote ni wewe tu mwanaume approach yako.
Lakini kama Kabila lako lilipigana vita vya maji maji lazima Wamarangu watakudharau, Chief Marleare alikataa kutowa askari wake kwenda kupigana vita ile kwa kudanganya watu risasi inaweza kugeuka maji, ni makabila duni na ya wajinga ndio yalipigana vita vya majimaji.
Hilo nalifahamu kwa Moshi wamachame Mara nyingi wanaowana wenyewe kwa sababu tayari wana name calling wanawaita Wapalestina.
Lakini Mimi zipo huko Nina maana mambo ya kihistoria kwa Sasa haryana nafasi.
Kwa mfano ni nadra kuna mchana kaowa mpare au msambaa, mziguwa na Mbondei kuowa Mdigo haiwezekani.
Kuna vitu siyo sheria ila ni vya kihistoria, hebu funguwa ubongo wako ufunguke.
Huo uandishi wa uwongo umetumia content shabihishi kuhusu wachaga ila hii ni story ya uwongo mtupu, haina mashiko yoyote, umekutana na mtu wiki mbili, ukatambulishwa fasta, ndani muda mfupi wewe ni tajiri na umelishwa sumu, Acheni kick za hovyo.Sina haja ya kuwasilimia hata kidogo aisee hawa maduu kutoka Kanda ya kaskazini sio poa kabisa nusura nipigwe kipapai kwa maana niuliwe kisa mali aisee nyie wabara mnawezaje kuishi nao hilo kabila?sio poa kabisa.
Yaani ni hivi Kuna duuu mmoja nilikutana nae pale old moshi tukabadilisha contact,tumesiliana kama wiki mbili hivi ndipo nikaomba shoo nikapiga baada ya hapo nikaenda kutambulishwa ili niende kuoa kumbe yule binti na wazazi wake ni wachaga aisee ila nikaona kujitoa ni udhaifu nikapambana nikamuweka ndani.
Baada ya kumuweka ndani kilichonitokea siwezi kusahau kwanza picha imeanza nimewekea sumu kwene chakula aisee siwezi endelea maana hapa nilipo nalia tu siwezi endelea hata kidogo.
Wachaga mungu anawaona acheni roho ya hivyo Kuna maisha baada ya kifo hizi mali zinapita tu π’ π πΏ π’ π
π’ π πΏ π’ π πΏ π’ π πΏ