Najuta kuoa mwanamke kutoka Kanda ya Kaskazini

Oya mkuu unatupa mashaka mzee fanya uendelee kureply isije kuwa ndo ushalala yooo
 
Kunywa maji kaa kivulini relax halafu utuambie yaliyokukuta. Hatuwezi kukuelewa kwa mhemko ulionao
 
Mleta mada unataka kuuliwa kwa sababu zipi?
mali gani ulizozazo wakati unaonekana ni kapuku wa kutupwa!
Utakuwa unajiloga mwenyewe kwani maskini huwa halogwi!
 
Kwani wwe unajua Wachaga wanauwa kuanzia Mali ya kiasi gani hadi unazarau malalamiko ya mwenzio kisa Mali zake chache!!!!??
 
Mkuu hizi pisi za kichaga tuachieni wachaga mkuu wewe kagera na moshi wapi na wapi asee utauwawa Man.
 
Wewe mwenyewe ndio una shida, mkiambiwa tulieni mwombe Mungu awasaidie mnajifanya mnajua kila kitu
 
Ungeorodhesha mali ulizonazo kwanza, pengine tungejarib kuona km unafaa kuuwawa kweli au unajikweza tu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…