dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
Nashushia na mkate wa "Azam bekari" hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakupeleka kwa Yesu akakuondolee hamu ya uzinziEbu nipeleke kwa mganga na mie nipata dawa ya kuvutia pisi kali
Si kweli, conclusion yako haiko sahihi mkuu, ni kweli pale Mabibo hostel Kuna uchafu mwingi sana...ila si kweli kwamba wasichana wote wa vyuoni wana tabia mbaya........hadi mabikra wapo najua wengi mtapingaNikisema mademu wa chuo ni uchafu msibishe. Mungu anakupenda hukupata gono, ukimwi na hukuangukia kwenye uteja
Kwani nani asiyemjua mleta mada na chai zake. Huyu anastahili apewe mgahawaChai hii, Tena haina sukari
Kwa Manufaa ya wazazi na mabinti wenyeweHongera sana kwa kufichua siri hii
Walipo wa shetani na wa Mungu pia wapoSi kweli, conclusion yako haiko sahihi mkuu, nikweli pale Mabibo hostel Kuna uchafu mwingi sana...ila si kweli kwamba wasichana wote wa vyuoni wanatabia mbaya........hadi mabikra wapo najua wengi mtapinga
😲😲😲😲 Lakini tukiwaulizaga mnajipandishaga kibo mnakataaga 😂😂😂😂. Nialike basi nipige chabu ukiwa wajipandisha kiboHicho kibo unapanda tu mwenyewe bro
Mkuu kama nilisoma mahali unasema ulishawahi kupiga threesome, aisee tubu kama mwenzio...Ebu nipeleke kwa mganga na mie nipata dawa ya kuvutia pisi kali
Hakuna aliposema hakupata gono, ukimwi au uteja.Nikisema mademu wa chuo ni uchafu msibishe. Mungu anakupenda hukupata gono, ukimwi na hukuangukia kwenye uteja
Pole sana.Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.
Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.
Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.
Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.
Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.
Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.
Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.
Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.
Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.
Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Sasa umetoka huko upo wapi sasa hivi, Mungu wetu sio katili kiasi hicho kutuchoma moto wa milele, Mungu wetu ni mwenye huruma, endeleza mapambano hakika siku ya hukumu atatuhurumia!Yesu ameshanitoa huko, sasa nachapa injili
Huyu hakuacha kitu kama mpaka bangi alivuta.Pole sana.
Je, pia umewahi kushiriki mapenzi kinyume cha maumbile wakati huo uko chuo?
🤣🤣🤣🤣Nyie msichukulie serious story za humu....watu tunatoa stress za tozo na mafutaMkuu kama nilisoma mahali unasema ulishawahi kupiga threesome, aisee tubu kama mwenzio...
You are too generic. Unazungumza mambo mengi hujamaliza hili umedandia hili. Hostel hazina tatizo, tatizo ni wewe na tabia zako. Watu wamekaa hostel miaka na miaka na hawasagani kama wewe unavyoona fahari!Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike. Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.
Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.
Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.
Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.
Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.
Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.
Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.
Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.
Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
SawaHakuna aliposema hakupata gono, ukimwi au uteja.