Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Nikisema mademu wa chuo ni uchafu msibishe. Mungu anakupenda hukupata gono, ukimwi na hukuangukia kwenye uteja
Si kweli, conclusion yako haiko sahihi mkuu, ni kweli pale Mabibo hostel Kuna uchafu mwingi sana...ila si kweli kwamba wasichana wote wa vyuoni wana tabia mbaya........hadi mabikra wapo najua wengi mtapinga
 
Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Pole sana.
Je, pia umewahi kushiriki mapenzi kinyume cha maumbile wakati huo uko chuo?
 
Nimependa ulivyomaliza hiyo para ya mwisho..

But usifikiri haya mnafanya mkiwa vyuoni tu, haya popote yanafanyika maana ni hulka ya wanawake kuiga iga vitu na kuwa na tamaa ya vitu.
 
Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike. Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
You are too generic. Unazungumza mambo mengi hujamaliza hili umedandia hili. Hostel hazina tatizo, tatizo ni wewe na tabia zako. Watu wamekaa hostel miaka na miaka na hawasagani kama wewe unavyoona fahari!

Kwahiyo mtoto akiwa nyumbani hasafirishi madawa ? havuti bangi ? hasagani ? hatoi mimba? Huko chuo anapoenda uko nae matakoni muda wote? Wacha kujinasibisha Udsm na usagaji wako. Nyumbani pia udsm walikuwa wanakushawishi uwasage wadada wa kazi.?

Uandishi wa kiparody huu.
 
Back
Top Bottom