luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
Wacha kuogopesha watu kha! Hii balaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha kuogopesha watu kha! Hii balaa
Ni igizo tu la Mzee JangalaWacha kuogopesha watu kha! Hii balaa
Tupe darasa mkuuSitakuja chukua mke wa mtu nikiwa najua ni mke wa mtu. Labda nipite nae bila kujua (anidanganye kuwa hajaolewa).
Wanavyoumia sasa utazani wao hawayafanyi hayo, na bado!wenye wake wakiwa safarini huu uzi utafanya wamsimamishe dereva wakakojoe kwanza[emoji1]
Usipo chukua utapigiwa wewe,Sitakuja chukua mke wa mtu nikiwa najua ni mke wa mtu. Labda nipite nae bila kujua (anidanganye kuwa hajaolewa).
Wewe utakuwa kwenye listMkuu mimi jana tu nimekutana na classmate sijaonana nae tangu mwaka 2012(tunamaliza form four), Kapendeza sanaaa ila kaniambia ameolewa na jamaa aliyemuoa ni mdau alikuwa advance pale school kwetu kipindi sisi tupo cha pili yeye aikuwa cha tano. Now anafanya kazi CRDB mkoa ninaofanya kazi. Na demu anafanya kazi mkoani kwangu hapahapa naona analeta mazigazi mpaka namuonea huruma msela.
Kwani walio olewa wao hawapendi starehe? Waume walio oa wanaviburi sana ikiwa wao wanachepuka kisha kwa wake zao wanaleta hadithi kibao acha wasaidiwe.Mbona kuna wanawake wengi hawajaolewa
Kwa hio unaruhusu wachapwe sioKwani walio olewa wao hawapendi starehe? Waume walio oa wanaviburi sana ikiwa wao wanachepuka kisha kwa wake zao wanaleta hadithi kibao acha wasaidiwe.
Wachapwe tu kama waume zao wanajifanya ujuaji watajiju mwenyewe !Kwa hio unaruhusu wachapwe sio
Darasa la nini mzee? Mimi nimejiwekea hiyo nadhiri, naheshimu sana taasisi ya ndoa na siwezi kuchukua mke wa mwanaume mwenzangu nikiwa na akili zangu timamu.Tupe darasa mkuu
😄😄 yaani,, dunia hii hakuna asie na mchepukoWanavyoumia sasa utazani wao hawayafanyi hayo, na bado!
Daaah, saafi sana mkuu.Darasa la nini mzee? Mimi nimejiwekea hiyo nadhiri, naheshimu sana taasisi ya ndoa na siwezi kuchukua mke wa mwanaume mwenzangu nikiwa na akili zangu timamu.