Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

Najuta kwa mara nyingine kuwa na mahusiano na mke wa mtu

Mimi kupigiwa siwezi maana siji kukaa kufanya ujinga unaoitwa kuoa. Kama ni demu ninane na demu sio wa mtu mmoja tuna share.

She's not yours, It's just your turn.
Seems u still underage....kua uyaone
 
Umeandika mengi ila hili uliloliweka mwisho ndio lilipaswa kuwa la kwanza;

''Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo''

Hapo ndio penye tishio.
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katiba banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu , mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka kuna nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nilamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB

Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
Uzuri heaven and hell iko hapa hapa, malipo yako unayapata hapa hapa
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katiba banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu , mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka kuna nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nilamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB

Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
Kumbuka kila mla cha mwenziwe na chake pia huliwa! Nawe mke wako ataliwa kama ulavyo wa mwenzio!!
 
Mbona madem kibao tu mpaka upapalikie wake za watu bro??

Kama ulipita na bado una tamaa nae basi uwe unapasha kiporo tu na sio kua na mahusiano nae, hao wanawake sio wa kuwaamini utaja pigwa pipe kijana.
 
Seems u still underage....kua uyaone
Underage overage beyondage whatever, i don't give a f*ck. Kila mtu na tabia zake na misimamo yake.

Do not commit logical fallacies. Why would you think that everyone must do what others do while it's a matter of choice?

Do people have free will? Are we rational? Kila mtu ataua kwasababu kuna binadamu wanaua? SMH

Huwaga mnanikera sana nyie watu wa namna hii. Eti kuwa uyaone.
 


Kabisa !

Maana mke wa mtu atakudai umlipie kodi ya nyumba ya vipi sasa kwa mfano?!

Ukimnunulia Gari inabidi mpige hesabu kali kwanza zikae Sawa.

Labda awe anafanyakazi na aseme amekopa!

Pia uhusiano huo huwa ni stress free hauna too much demanding.

Some ladies hawajuagi tu kuwa kila mara unapomwabia Mwanaume wako nataka hiki sina hiki na kile huleta msongo wa mawazo kwa Mwanaume.

Ndio maana baadhi ya mahusiano ni utumwa mtupu na kutumika kwingi.

Wenye mapenzi ya kweli ni wachache sana!
 
Na kadiri unavyomhonga anajua unazo nyingi na ndio atazidi kukuletea mahitaji chungu nzima yake, ya watoto wakufikia, na ndugu zake [emoji108][emoji108]

Kwa hiyo endelea kujifanya chimwaga aka tupatupa lakini ujue utazikumbuka! [emoji4][emoji4]
 
Kilakitu ni maelewano...kama mmeelewana hakuna shida
 
Achana na hizo issues hazitakuwa na faida ya maana,hapo ni hasara tu ndugu yangu ndo utapata...
 
Ni mwanamke ambaye nilionana nae nilipoenda kutembelea maonesho ya biashara ya sabasaba mwaka jana, na hii ni baada ya kumaliza shughuli za ukaguzi katika banda letu nikaona si vibaya nipate kutembelea mabanda mengine kujionea biashara na ubunifu wa vijana wetu.

Wakati nazunguka nilifika katiba banda moja ambalo lilikuwa na wadada ambao walikuwa wakinadi bidhaa zao nikauliza maswali yangu pale mwisho nikaomba business card ya aliyekuwa ndio boss pale ambaye alikuwa ni mdada mmoja mzuri sana kuanzia rangi na umbo kwa ujumla kwa ufupi alikuwa amekamilika.

Baada ya siku kadhaa nikawa namtafuta kumjulia hali akawa mzito kujibu text zangu , mwanzo nilionesha kukata tamaa ila upande mwingine wa nafsi yangu ulisema hapana endelea kumtafuta mbona kama alivutiwa na wewe tangu ulipokanyaga banda lao pale.

Kweli bwana nikaendelea kuwasiliana nae nakumbuka kuna nilisafiri kuja mkoa X alipo ikanibidi nikamtafuta tu kujua anaendelea vipi na mwisho nilamwambia nipo mkoa uliopo kwa wiki kadhaa na ningependa sana tupate chakula cha usiku pamoja mimi na wewe sehemu X, kwa ufupi aliitika wito siku hiyo tulizungumza mengi na hapo ndipo nikatokea kujua udhaifu wake upo wapi?

Nikaendelea kuwasiliana nae na tukawa tunaonana nae kila mara nilipokuwa nasafiri kwenda mkoa aliopo, hadi mwaka huu mwezi uliopita alinitafuta mwenyewe maana alikuwa akijua ratiba pindi nifikapo mkoa X kikazi akanipigia simu akanijuza kuwa “Leo anataka tulewe tucheze mziki pamoja” eeh nikasema nini kimemkumba huyu mrembo.

Siku hiyo nilimstaajabu sana maana alikuwa mchangamfu kupitiliza nikamuuliza kila kitu kipo kipo sawa akanijibu “tutazungumza D” nikamwambia muda umeenda itabidi ukapumzike sasa itabidi nikusindike ukapumzike kitu alichonijibu ni kwamba “Leo utakapoenda kulala na mimi ndipo nitalala” aisee nilisikia sikio linalia nziiiiiiiiiiiiiii kwa wale waliowahi kupigwa makofi kwenye sikio wanaujua vyema mlio huo wa sikio.

Kwa ufupi tulijikongoja hadi nilipofikia na kweli tulifanya ya kufanya niwe muwazi yule binti alikuwa fundi sana ingawa ana watoto wawili ili maungo yake yalikuwa bado ni kama ya wale mabinti wadogo, nikiri tu ingawa alikuwa ni mke wa mtu ila nilishangaa sana yeye kuwa na nyege kiasi kile.

Kisa cha kuleta uzi huu ni kwamba mwanamke yule hakuwahi kufikiria ku- cheat ila sasa amenitamkia ya kwamba ataniheshimu na atamheshimu mke wangu ila tu anaomba niwe mtu wake wa pili na yuko tayari kufanya chochote ninachotaka ili tu awe na mimi.

Hapa bado nipo kwa tafakuri zito maana nakumbuka miaka ya nyuma nilibahatika kutoka na dada mmoja ambaye pia ni mke wa mtu ila nilijikuta natumia gharama nyingi sana kwake mfano; kumuongezea mtaji katika biashara yake na kulipia kodi mara nyingi hivyo nahofu yaleyale yasije yakajitokeza kwa huyu tena.

Naombeni ushauri nimfanyaje huyu mke wa mtu.

NB

Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.
Nimegundua mme wake pia ni mtu wa safari kama mimi tu na yupo kitengo fulani na nammudu vizuri kabisa, hivyo hawezi kuwa tishio kwangu hata kidogo.[emoji15][emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji848][emoji29]
 
Back
Top Bottom